We Bitoz acha kuleta ubitoz wako wa kifala. Sasa we kuichi Dar mabondeni unajiona bonge la mjanja??? Nenda kagawe tigo huko usiniletee usenge wako hapa. Makonda bado anawatafuta wewe endelea na mdomo mdomo wako hapa utaishia segerea ndo ukagawe dozi vizuri.Una miaka 100?
Au unatafuta tu sifa we mbumbumbu endelea kunya porini na kuchunga ng'ombe
Mbumbumbu tu ww kwani umeitwa huku kwenye huu izi uje ukomenti na kwa taarifa yako NAJUA KUTUKANA ZAIDI YAKO.....We Bitoz acha kuleta ubitoz wako wa kifala. Sasa we kuichi Dar mabondeni unajiona bonge la mjanja??? Nenda kagawe tigo huko usiniletee usenge wako hapa. Makonda bado anawatafuta wewe endelea na mdomo mdomo wako hapa utaishia segerea ndo ukagawe dozi vizuri.
We we kila.za kweli uzi umefungua wa nini ? Wewe unataka uwakejeli wenzako lakini ukipewa dozi povu linakutoka na mimi mwanzoni hata sikutukana mtu I was just joking lakini naona ilikuingia vizuri .Mbumbumbu tu ww kwani umeitwa huku kwenye huu izi uje ukomenti na kwa taarifa yako NAJUA KUTUKANA ZAIDI YAKO.....
Kutukana ni dalili ya mtu mbumbumbu so sishindani na mbumbumbu like you
Uzi upo kiutani na kiburudani hujaitwa kutoa povu na matusi sema una kimbelembele na unatafuta sifa
NB:
Tukana uwezavyo uprove ujinga wako wala sibabaiki na kupoteza time kukujibu mbumbumbu people like you
Tofautisha kejeli/utani na MATUSIWe we kila.za kweli uzi umefungua wa nini ? Wewe unataka uwakejeli wenzako lakini ukipewa dozi povu linakutoka na mimi mwanzoni hata sikutukana mtu I was just joking lakini naona ilikuingia vizuri .
Kila MTU ana utani wake pia kuna utani wako ambao watu wengine wanauchukulia kama umewatukana but sio lazima watoke povu. Sasa Mimi kusema haya watoto nendeni mkalale, kwanza hakuna sehemu nilikutarget wewe personally ndo maana nashangaa povu la nini?Tofautisha kejeli/utani na MATUSI
Km huwezi utani kaa pembeni angalia tunavgotaniana sio lazima ukomenti kimsingi umekuja kutukana na sio kutaniana
Poa basi tutabishana sanaKila MTU ana utani wake pia kuna utani wako ambao watu wengine wanauchukulia kama umewatukana but sio lazima watoke povu. Sasa Mimi kusema haya watoto nendeni mkalale, kwanza hakuna sehemu nilikutarget wewe personally ndo maana nashangaa povu la nini?
Dodoma itabaki kuwa Dodoma tu hata jina tu ni la kishamba tuNa makao makuu ya nchi tunahamishia dodoma yaani nikitoka mwanza na mifugo yangu mwisho dodoma tuone nyama na viazi vya chips nani atawauzia mpaka mtie adabu muendeshe matrekta muanzishe kilimo
Tunakunywa. Na hatuachi.. naskia wanaume wa huko mjini kila siku mnatapeliwa na waporipori. Tunakuja kuwadanganyana tuna dawa za kuongeza nguvu za kiume hangaikeni sana. Mwisho wa siku hela mtukusanyieNyie waporipori mmeacha kunywa mataputapu na kubwia ugoro?
Hivyo vipesa wala havituumi naona vinawasaidia kuendeleza kilimo na kujengea vibanda vya tope huko poriniTunakunywa. Na hatuachi.. naskia wanaume wa huko mjini kila siku mnatapeliwa na waporipori. Tunakuja kuwadanganyana tuna dawa za kuongeza nguvu za kiume hangaikeni sana. Mwisho wa siku hela mtukusanyie
Na nyie mlivyo mambumbumbu mnakesha shambani kutwa nzima halafu siku mkivuna tunakuja kununua mazao yenu kwa hela kiduchu kisha tunarudi town kuuza kwa bei ya juu tukiwaacha nyie maporini mnakufa kwa umaskiniAsilimia 99% ya matangazo ya waganga wanaojidai kutibu nguvu za kiume yako dar halafu mlivyo ****** wanaume wa dar manamiminika kama mafuriko jamaa anapiga pesa anarudi bush kuongeza mashamba na mifugo upo hapo