kutongozwa ni inelastic demand babu.
kutongozwa ni inelastic demand babu.
halafu ile sredi imekukamata eeh? Hebu ninong'oneze kulikoni hapo?
Husninyo ndege mjanja hunaswa na tundu bovu, wasichana wanaobanaga sana wanaangukiaga kwa masoro(slang ya moshi)/hata mateja.
Huwezi kusema unakuwa mgumu usitongozwe kama una sura na umbo la kuvutia yaani kama Mungu mwenyezi mwenye rehema zote alikuumba jumapili baada ya misa ya pili siku ya mapunziko lazma usumbufu uupate hata kama ungenuna kwa vile ukilia mzuri ukinuna mzuri ukicheka balaa ukitembea ndiooo OMG dd u see thaaaat.
Ukitaka usitongozwe kama ww kuwa huogi uwe una vuja kikwapa hata kama kuna baridi. Uwe unatema jasho kali walah hata mlevi akusogelei.
Kama una sura mbaya is an added advantage
hii sredi bado inaendelea?
husninyo nakusubiri laboratory, leo tutapasua mende na kesho tutakamilisha sylabuss kwa kupasua chura. njoo haraka mhadhiri nishavaa gloves, au unahisi tumpasue bila gloves?
bek to ze topik: kinadada kuweni wagumu halaf wakikutongozeni sana naomba mlete mashtaka yenu kwangu, i am a universal shoulder to cry on for all ladies.
Ngoja niichungulie ingawa tano bora nilizopewa na bibi zinayoyoma!
hahahah Husninyo kwani imekuwa chumvi hiyo? LOL....kama kweli ni hivyo then unajustfy kwamba kutongozwa ni kawaida kabisa and its a 'basic need' sasa kwa nini kuwanyanyapaa watongozaji?
chumvi ikikosekana madukani nchi itatawalika hii?
twende tukadai 'kariba mpya' sasa
Usiniambie bibi 'amekutongoza' 'ukakubali' alalalalallalallllaaaaa
kwa ajili ya sababu zilizo wazi, nitakunong'oneza sehem sehem u know what I mean haaa
nakuja. Halafu ile reproductive system sikuielewaga vizuri.
Ya mende lakini.
Sijaona hii comment nilikuwa napita tu waungwana
Usiniambie bibi 'amekutongoza' 'ukakubali' alalalalallalallllaaaaa
habari yake binafsi banaa.....Husninyo ataka ufafanuzi hapo nitampatia tu bila tatizo......wapi AD?
Bibi kageuka kuwa youngstar
Hapana TF,
Babu atabaki kubwa babu na kusimama kwenye mstari kama Nyerere na Azimio lake la Arusha na bibi analijua hilo!
and thats why 'it depends' validates everthing tracy.....kugeneralise hii issue inakuwa ngumu sana....
mpaka sasa sredi inakwenda vizuri sana. Kwa niaba ya mods tunapenda kuwashkuru sana kwa kufikisha page 6 bila mikwaruzano wala off topic.
Asanteni sana. Kumbe mkiwezeshwa mnaweza.