Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
U can as well wait mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili ndipo utakapata majibu hayo! LOL
By the way being Mwali lazima utakuwa umefundwa weye, eeh tufundishe nasi 'mwanaume ni kwa ajili ya nini'?
AshaDii nakubaliana na wewe na asante sana kwa ufafanuzi wako na karibu sana maana tulikukosa sana
nakubaliana na wewe na Annael kwamba mwanamke sio kwa ajili ya mapenzi ni ni zaid ya hapo kulindwa na apate mtu kwa kumjali na na kumuonyesha mapenzi ya kweli
Ila hayo inategemea kama hakuna usanii ndani yenu na mnapendana kweli maana unaweza fanya hayo yote na bado ukaonekana hamnazo kabisa