Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.
Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.
Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.
Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.
Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection