Mwanamke sio tu kwaajili ya kufanya mapenzi

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.

Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.

Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection
 
Namba 4 naanza rasmi leo kufanyia mazoezi, kwanza nitaenda kupiga safari zangu kama kawa zikikolea naludi home nikifunguliwa get na housegal kesi mpaka asubuhi.
 
Asante Annael, Ila naomba niseme kwa mawazo yangu hapo naona umezungumzia mwanamke mwenye Mapenzi ya dhati. Katika ulimwengu wa sasa wa mapenzi usanii ni mwingi hivyo kwa kweli inatakiwa kuwa makini na mwanamke/mwanaume utokae... Katika mahusiano yenu kabla hujajibwaga kabisa msome mwenzio kwanza kujua kama yupo kwako kwa misingi ya material things zaidi ama wewe kama 'WEWE'

Nasema hivyo sababu ukikuta mwanamke ama mwanaume asie na adabu ukafanya inavyostahili anaweza kukuburuta vibaya mno. Hata hivyo haya mambo huchangiwa pia ni mtu wa aina gani ambae kakuvutia na kumtongoza, sasa hivi mara nyingi kabla ya kumtongoza mtu ukiunganisha na mazingira mliokutana inakuwa rahisi walau kidogo kujua huyu mtu ni msanii tu kama wewe ama ni zaidi ya hapo, kuwa afaa kuwa plus one wako katika yoote yanayokugusa.
 
AshaDii nakubaliana na wewe na asante sana kwa ufafanuzi wako na karibu sana maana tulikukosa sana
nakubaliana na wewe na Annael kwamba mwanamke sio kwa ajili ya mapenzi ni ni zaid ya hapo kulindwa na apate mtu kwa kumjali na na kumuonyesha mapenzi ya kweli
Ila hayo inategemea kama hakuna usanii ndani yenu na mnapendana kweli maana unaweza fanya hayo yote na bado ukaonekana hamnazo kabisa
 
Last edited by a moderator:
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.

Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.

Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection

naunga mkono HOJA!:A S-coffee:
 
AshaDii nakubaliana na wewe na asante sana kwa ufafanuzi wako na karibu sana maana tulikukosa sana
nakubaliana na wewe na Annael kwamba mwanamke sio kwa ajili ya mapenzi ni ni zaid ya hapo kulindwa na apate mtu kwa kumjali na na kumuonyesha mapenzi ya kweli
Ila hayo inategemea kama hakuna usanii ndani yenu na mnapendana kweli maana unaweza fanya hayo yote na bado ukaonekana hamnazo kabisa

Asante kwa acknowledgment R' na ukaribisho... Mie nasema saa ingine sisi wenyewe huwa tunajengea mazingira ya kufanyiwa 'usanii' na hali hatupendi. Wake kwa waume wote we are so fake... inatu cost.
 
naunga hoja pia,ila naomba ufafanuzi kuhusu namba 4.je kuna effect gani mwanaume akiwa mpole?maana wengine naturally ni wapole,na hawawezi kubadilika wawe wakali na wakorofi bila sababu...nawakilisha
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.

Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.

Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection
 
naunga hoja pia,ila naomba ufafanuzi kuhusu namba 4.je kuna effect gani mwanaume akiwa mpole?maana wengine naturally ni wapole,na hawawezi kubadilika wawe wakali na wakorofi bila sababu...nawakilisha
Kaka sio kwamba usiwe mpole ila ule upoleee uanozidi. Mwanamke huwa anajisikia vizuri akiwa na mwanaume kiasi fulani kali. Hayo mambo ya kuzaliwa mpole si kweli. Mambo haya huwa ni yakujifunza. Sometime unaonyesha msimamo.
Mwanasaikolojia mmoja alisema ukikirudia kitu siku 7 mfululizo inakuwa tabia yako.
Na watu kuwa wapole sanaaaa some time inatokana na mazingira walio lelewa.

Madhara ya kuwa mpole kupindukia mwanamke anakuona mjinga anakudharau hatimae ndani kunakuwa hakukaliki ugonvi kila kukicha. Unajua upole sana maana halisi ni ujinga. Kwa hiyo ile mantiki ya protection inakuwa haipo.
 
sawa,nimekuelewa,itabidi nianze kupractice ukali.....my fingers talk than my mouth,,,nianze na kupiga chuma,maana wengine na vimwili vyetu,ukibananishwa na vibaka na uko na wife,first option ni kukimbia..
Kaka sio kwamba usiwe mpole ila ule upoleee uanozidi. Mwanamke huwa anajisikia vizuri akiwa na mwanaume kiasi fulani kali. Hayo mambo ya kuzaliwa mpole si kweli. Mambo haya huwa ni yakujifunza. Sometime unaonyesha msimamo.
Mwanasaikolojia mmoja alisema ukikirudia kitu siku 7 mfululizo inakuwa tabia yako.
Na watu kuwa wapole sanaaaa some time inatokana na mazingira walio lelewa.

Madhara ya kuwa mpole kupindukia mwanamke anakuona mjinga anakudharau hatimae ndani kunakuwa hakukaliki ugonvi kila kukicha. Unajua upole sana maana halisi ni ujinga. Kwa hiyo ile mantiki ya protection inakuwa haipo.
 
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke.
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.

Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine.

Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake.
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili.
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani.
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection

Nakubaliana na mengi, tena napigilia mstari kwenye no 2, hakuna kitu kizuri kama mpenzi wako kuside by you no matter what; lakini pia nataka kuzungumzia no 4, sijui una maana gani ukisema mpoleee, au unaposema mkorofi. Maana mimi napenda mwanaume mpole na mtundu (anayenifanya nicheke) lakini sipendi mwanaume mkorofi. Yaani nakuwa easily put off na ukorofi wa kijinga, ambao naweza sema lengo lake ni kuprove sijui kwa nani (mostly probably kwake mwenyewe) kuwa he is a man.
 
Naunga mkono hoja za wachangiaji wote waliotangulia, zaidi ya yote kila mtu inatakiwa amjali mwenzake.
 
Tutapanda tutashuka mwisho wa siku lazima mama watoto apatiwe haki ya ndoa!!hizo zingine mbwembwe tu
 
Nawasalimia kwampigo wana JF.
Kuna matatizo mengi yamekuwa yakitokea katika uhusiano kati ya mme na mke.
Hii labda vijana wengi wa kiume wanakuwa hawajafundwa na kufundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke. (Not the other way round? Source of this affirmation? or is it just your opinion?)
Hapa hebu ngoja niwape baadhi ya nondo nilizopewa na babu yangu wakati wa kufundwa jinsi ya kuishi vizuri na mwanamke bila ugomvi.

Ndugu wana JF, kwanza kabisa unatakiwa utabue kuwa mwanamke sio kwaajiri ya mapenzi tu au kwaajiri ya kumpatia pesa tu. la la la la, kuna mambo mengine. (Oh really-sarcastic)

Kitu kikubwa kabisa mwanamke anataka kutoka kwa mwanaume ni kujihisi kuwa kuna mtu anamjari na anamlinda (care and protection) (SOurce tafadhali, maana mi ni mwanamke na I beg to differ)
1. Mwnamke anapenda kuona anasikilizwa na mwenzi wake. (Most of human beings do, it has nothing to do with one's sex)
2. Mwanamke anapenda kuona analindwa na mwenzi wake. Hili la kumlinda mwanamke ni pana kidogo. kwa mfano inatokea mwanamke wako amefanya kosa hadharani sio umdhalilishe ni heri umlinda mbele za watu na utamkosoa mkiwa wawili. (Idem)
3. Kumpatia pesa mwanamke sio kigezo cha kwamba ninampa kila kitu. Wanawake wako kisaikolojia zaidi. Ongea na akili yake mara zote.
4. Mwanamke hapendi mwanamme mpoleeeeee. Kidogo mwanaume uwe mkorofi kiasi fulani. (Source, hasa hapa)
5. Wanaume wengi wako after mapenzi , wanajitapa wanajua mapenzi ya kitandani. kwa mwanamke sio hivyo tu ni zaidi ya hapo. Mapenzi sawa lakini baada ya hapo mambo makuu ni care and protection

Ukisha fafanua hapo juu, nipigie sim nije nichangie.
 
Ukisha fafanua hapo juu, nipigie sim nije nichangie.

U can as well wait mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili ndipo utakapata majibu hayo! LOL

By the way being Mwali lazima utakuwa umefundwa weye, eeh tufundishe nasi 'mwanaume ni kwa ajili ya nini'?
 
Back
Top Bottom