Ukipita mtaani unasikia watu wakisema Mwanamke Nyanga.Ina maana gani? na manufaa yake nini kwa Mwanamke na Mwanaume?Tuelimishane.
Asante kwa ufafanuzi mzuri,lakini hayo madawa ya wachina si yana madhara eti?Itakuwa Nyonga etii?
Yeah ni katikati ya tumbo na kiuno ambapo mwanamke umbo linagawika na kuwa kama umbo namba 8 umeona nane hiyo ndo nyonga yenyewe inajazia mpaka wanaume wakwale wanatoa mate wakikuona. Vp kwani wewe hukoje?
Unapenda na wewe uvutie? Mchina kaleta mzigo wa madawa unajipaka kitu kinatutumuka tu unakuwa na kalio la ajabu.
Asante kwa ufafanuzi mzuri,lakini hayo madawa ya wachina si yana madhara eti?
Ndio,lakini sitaki dawa zenye madhara,yasiyo na madhara unayafahamu?Yeah kila kitu kizuri hakikosi kuwa na madhara vp na wewe unataka uwe na wowowoo?
Ndio,lakini sitaki dawa zenye madhara,yasiyo na madhara unayafahamu?
Ani PM.....ni nani?Lakini kama upo portable si bora ubaki hivyo hivyo.
Ani PM.....ni nani?
mwanamke wenye wowowowo na kiuno kama nyigu na anaweza kukatika kweli
yah mpwa fanya faster achague kabisa anataka kukwea pipa gani....tukutane nae usheli shelihahahaha mpwa subili nikuunganishe nae ila shrti moja tuma air ticket.
mpwa unafaidi kichizi.....Hahahaha wengi wao iwa wanashindwa kuzungusha kiuno. Nina mtoto wa Kitanga dahh wallahi ananirusha wakuu mtoto whitekajaza kalio lainiiiiiiiiiiii usipime mpwa Yo Yo alafu nyonga ndo usiseme huyu hanichuni kabisa nalazimika kumpooza kiaina.
yah mpwa fanya faster achague kabisa anataka kukwea pipa gani....tukutane nae usheli sheli
Hahahaha wengi wao iwa wanashindwa kuzungusha kiuno. Nina mtoto wa Kitanga dahh wallahi ananirusha wakuu mtoto white usipime mpwa Yo Yo alafu kajaza kalio lainiiiiiiiiiiii nyonga ndo usiseme huyu hanichuni kabisa nalazimika kumpooza kiaina.
Nasikia huko Tanga kama umetoka zako Bara(moshi?) unaweza ukapagawa kwa mambo fulani. Wewe sio wa kwanza kusalimu amri, hahahaha!!!