Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Subiri wenyewe waje!!!!!
hahahahahahahahahaa
Subiri wenyewe waje!!!!!
mkuu!kama style ni chuma mboga au mbuzi kagoma kwenda ata-ku-hug vipi sasa?
Macho, chuchu, rangi, muscles, kuhema etc! Akifika orgasm kwa hakika haitakiwi kiwe kitu cha kumuuliza....kama sio 'mzoefu' unaweza fikiri anakufa(explode!):lol::lol::lol:. Achana na 'makelele' ambayo 'wezi' hupenda sana kuyatumia!
umenikumbusha niliwahi kuchukua li fisi limoja nikalipelekea moto duh niliogopa nikawa nafikiria jinsi nilivyonunua mada kesi yaania alipokuja kuzinduka ilikuwa saa sita usiku nikajifanya kuna dharura imetokea na nimepigiwa simu hivyo natakiwa niende nikalirudisha kwao usiku huo huo sikutaka hata cha pili kisa cha kuja kufiwa ndani niishie magereza wakati tulikuwa tunarahanaMacho, chuchu, rangi, muscles, kuhema etc! Akifika orgasm kwa hakika haitakiwi kiwe kitu cha kumuuliza....kama sio 'mzoefu' unaweza fikiri anakufa(explode!):lol::lol::lol:. Achana na 'makelele' ambayo 'wezi' hupenda sana kuyatumia!
Macho, chuchu, rangi, muscles, kuhema etc! Akifika orgasm kwa hakika haitakiwi kiwe kitu cha kumuuliza....kama sio 'mzoefu' unaweza fikiri anakufa(explode!):lol::lol::lol:. Achana na 'makelele' ambayo 'wezi' hupenda sana kuyatumia!
Kuna makelele mengine kichwa tu kimeingia mtu tayari ameshaanza kuimba "Oooh shit beib you drive me craize"
????????????????????/Kitaalamu sijui lakini nasikia watu wanauziana mbuzi kwa mlio wake tu. Utaanza kupigiwa makelele hata hujamgusa.
sijawai kufika huko ningekuambia
unajua kuact mkuu?
umenikumbusha niliwahi kuchukua li fisi limoja nikalipelekea moto duh niliogopa nikawa nafikiria jinsi nilivyonunua mada kesi yaania alipokuja kuzinduka ilikuwa saa sita usiku nikajifanya kuna dharura imetokea na nimepigiwa simu hivyo natakiwa niende nikalirudisha kwao usiku huo huo sikutaka hata cha pili kisa cha kuja kufiwa ndani niishie magereza wakati tulikuwa tunarahana
Kama nilivyosema, NASIKIA tu, binafsi sijakutana nayo.????????????????????/
lakini ni kweli mmmhKama nilivyosema, NASIKIA tu, binafsi sijakutana nayo.
Uwanja huu wa 6 x 6 nao unahitaji coach kama T-Stars!!!!
Wataalamu wameshasema mengi, lakini zaidi ninabaki na hiyo moja kuwa "kila mtu ni wa aina yake". Sidhani kama kuna ishara zinazofanana kwa wote.Mama mia (MAMMAMIA) hebu elezea tu hata kwa kutumia uzoefu wako kwenye hili game.
Kwanza nikanushe kitu: SI VUGUMU SANA kama inavyosadikika. Ni vile huwa wanaume wengi hawajui nini wafanye kuwaridhisha wapenzi wao. Wengi hukimbilia kusukuma ndani na nje kana kwamba kuna shughuli ya kutumia misuli pale. Sehemu zinazotakiwa kuguswa ili uonekane wa maana wala haziko huko maili saba kutoka langoni. Wewe jaribu kuingiza vidole vyako viwili vya mkono hapo kwa ndani kidogo usawa kama wa inchi 2 upande wa juu halafu fanya kama unamuita mtu kwa ishara halafu uniambie bado ni vigumu.
Akifika kileleni utamtambua kwa namna atakavyobadilika. Yawezekana akalegea au akaongea mambo yasioeleweka kwa muda fulani yakifuatiwa na uso wa haya. Lkn kila mwanamke ana style yake. Ila si kweli kwamba ni ngumu.