y mwembamba ni bora?Mmmh ngoja vidume waje....kwa mimi kati ya mume mnene na mwembamba, nafikiri mwembamba ni bora.
Hapo umenena madame.
Leo kila mtu anawaza utamu. Lininkuna mkutano mwingine wa chadema, nimemuona jirani yangu polisi anasafisha bunduki
Leo kila mtu anawaza utamu. Lininkuna mkutano mwingine wa chadema, nimemuona jirani yangu polisi anasafisha bunduki
hiyo kweli coz watu hubadilika,what if umempendea wembamba akanenepa?utamuacha?
Nauliza jamani, kuna tofauti gani kati ya mwanamke mwembamba na mnene kwenye mahusiano? kuna rafiki yangu tumebishana sana mpaka kaniudhi, yeye anasema wasichana wembamba ni watamu kimapenzi, wakati mimi nimeishawahi kuwa na msichana mnene na mwembamba kwenye mahusiano, wote niliona watamu. ila cha ajabu alisema kuwa kuna ushahidi wa kisayansi juu ya nani mtamu na nani sio mtamu, bado nilimbishia. je? kuna mtu ana wazo tofauti na hilo. au yeye yupo sahihi?
Unamsimanga mpaka anakonda kwa mawazo mnaanza upya kama zamani
mie nasaka wa kumuonja, hebu nitafutie mmoja aliye mmoja aliye 'spice' na 'crunchy'
wallah mecheka mpaka chozi limenitoka ........,
hii yako kali mwe..........
ok mdau endelea kucheka uongeze siku za kuishi