pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Last edited by a moderator:
Ni kawaida tu mbona , aeleze hisia zake kwa ampendaye tena kwa kujiamini...
.
.
Mimi jambo kama hilo ku be approached na mwanamke limenitokea mara nyingi tu na nilichukulia kawaida, mpaka sasa umri wangu ni early twenties na nimesha wahi ku aprochiwa na 4girls..
Sio ile ya kujipitisha pitisha hapana ni ile ya kutalk real , uso kwa uso.
.
.
Unajua kitu ukikiangalia kwa mrengo hasi (-ve) ..
Siku zote hakita kuwa chema..
Jaribuni kuangalia na kupima mambo kwa upana na kuangalia positivity zaidi.. Ili ku ballance.
Na kweli angeishia kudhalilika tuu labda kama angekuwa muelewa
Hahah ngoja nikusaidie kumuita miss chagga maana naona iliyumba.
Naombeni kuuliza hili maana imetokea kwa rafiki yangu amempenda kijana alimuona kwa mara ya kwanza.
Sasa ikawa anashindwa kumwambia sababu tuu ni sababu ya hofu yule mwanaume atamchukuliaje?
Akaondoka anasononeka sana tuu kashindwa kueleza hisia zake kwa huyo mwanaume.
Je ni sawa na haki mwanamke kueleza hisia zake au ni kujidhalilisha?
kwani kupenda kunaanzaje kunaanza na kuvutiwa(atracted) kwanza na mhusika na ndio kujuana baadae..
Kuwa rafiki wa karibu kwanza ....umjue vizuri sio kukurupuka na kasema unampenda maana kumpenda mtu ni jambo pana ....na unapokuwa karibu nae utajua kama unampenda kweli au la na Kama ni ndio ni rahisi kumwambia..mawazo yangu tu
Mi nikimpenda mtu namwambia I got nothing to lose. wahenga walisema "It hurts to love someone and not be loved in return. But what is more painful is to love someone and never find the courage to let that person know how you feel."
hakutendea haki nafsi yake unampa makavu unasepa kama ujali .... au unamwambia nakupenda kama kaka huku badae ukiinamainama kwa maringo hakuna ukaka usiokuwa wa damu moja.......................
Mimi mwanamke akiniambia ananipenda nitamdharau sana.
....kwani mkuu wewe ni DUME au JIKE...???...samahani...lakini..