Mwanamke 'kumhonga' Mwanamme . . .

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,175
Naomba kupata mawazo yenu
imekaaje kwa mwanamke 'kumhonga' mwanamme?

Nadhani nimeishi kwenye jamii amabayo mwanamme ndio 'breadwinner' na ndio inaonekana halali hata yeye kumhonga mwanamke na si kinyume chake.

Labda nitoe mfano
Mdada ana kipato kuliko mpenzi wake (ikimbukwe si mme)
Na kuna vitu ambavyo anataka kumpa ili waende sambamba
vinaweza kuwa vitu vidogo vidogo kama mavazi n.k na aina hizo za huduma.

Je hii imekaaje? Inakubalika machoni pa walaji?
Na kama wewe ni mkaka mwanamke akikupa vitu hivyo utajisiakiaje?
 
Kwanza definition ya kuhonga nadhani ni ngumu sana.

Ila mtazamo wangu, 'kuhonga' as you put it, ama kumnunulia mwenza shati, soksi hata suit na simu haihitaji uwe umemzidi kipato. Kuna watu wana a 'giving heart'. Na haijalishi kama ni kitu cha tshs 500 ama kupika maandazi matamu na kumpelekea mpenzio. Kama unampenda mtu automatikale ukiona hata shati zuri unalipatia picha lilivyomkaa na unaamua kumnunulia.

Mie nahonga sana kama hiyo ndo definition ya kuhonga aisee. Huna kakako kimeo kimeo hivi yuko pending?
 
Mi naona kuna tofauti pale mwanamme anapokuwa ana kipato kuliko mwanamke
Hapo mwanamke hata akimpa ataoneka anampa zawadi tu sababu kapenda na mwanamme kaamua kuchukua tu.

Lakini pale mwanamke anapokuwa na kipato kuliko mwanamme, lazima utasikia 'huyu dada kiazi kweli, anamhonga mwanamme. Yaani anamnunulia kila kitu hadi pichu'

Watu huwa hatuisemi kama ' a giving heart' rather mwanamke anaonekana 'mjinga au kipofu wa mapenzi'

Kwanza definition ya kuhonga nadhani ni ngumu sana.

Ila mtazamo wangu, 'kuhonga' as you put it, ama kumnunulia mwenza shati, soksi hata suit na simu haihitaji uwe umemzidi kipato. Kuna watu wana a 'giving heart'. Na haijalishi kama ni kitu cha tshs 500 ama kupika maandazi matamu na kumpelekea mpenzio. Kama unampenda mtu automatikale ukiona hata shati zuri unalipatia picha lilivyomkaa na unaamua kumnunulia.

Mie nahonga sana kama hiyo ndo definition ya kuhonga aisee. Huna kakako kimeo kimeo hivi yuko pending?
 
sasa hiyo sio kuhonga...leo hii hata kama mwanaume anaingiza hela zaidi ya mwanamke bado mwanamke anaweza kumnunulia vitu mwanaume sasa utaita hiyo kuhonga? utakataa? nadhani life ya siku hizi ni both ways, mnaweza kwenda dinner mwanamke akalipia bill..sa hapo tumehongwa? sidhani, kuna wanawake wengine they want to feel wana contribute kwenye rship na mi napenda wanawake wa namna hii.. ila kuna ile mianamke mingine hata kama ina hela vipi mradi yuko na mwanaume basi hatatoa hata senti tano..
 
ni kitu kizuri sana kupewa zawadi (kuhongwa inaleta connotations za mtu kuhitaji kitu toka kwako in return) na mpenzi wako wa kike na haijalishi kama anakuzidi au unamzidi kipato; i hate the one-way traffic kind of relationship ambapo mwanaume ndiye anayeonekana anatoa hiki na kile kwa mwanamke kila wakati
 
Hiyo si kuhonga
Mie sioni tatizo kama mnapendana kwa nini kila siku kusubiri kupewa zawadi?
Ukipita shop ukiona shati inamfaa Boifie ama mpenze mpelekee
Kama amekwama sehemu kumsaidia pia sio kuhonga
 
ni mfumo tu wa maisha anaoishi mwanamke na mwanamme hasa wapenzi, na hapoo huwa wanapeana zawadi zio kwamba wanahongana, mimi kwa upande wangu huwa natoa zaidi kwa mwanamke kuliko yeye anavyonipa lakini huwa nafurahia sana ninapopokea zawadi zake
 
Kwanza kama hampo kwenye ndoa,kupeana hela sio lazima,huu ni msimamo wangu.Kuhusu mwanamke kumpa hela mwanaume(silipendi neno kuhonga,tafsiri yake haimaanishi ulichokisema)hakuna ubaya wowote.Wala halinipi shida kabisa,ndo maana mwanamke mwenye hela na asiekua nazo kwangu wote hawana tofauti na ni WANAWAKE tu!
 
unajua neno kuhonga halisound vizuri.. Tatizo kubwa la jamii yetu; mwanamke akimfanyia kitu mwanaume itaitwa kuhonga. cha msingi ni kudecide mapenzi yenu mnayaendesha kama nyie mnavotaka au kama jamii inavotaka.
 
HAINA SHIDA!! Kutokukubali zawadi kutoka kwa mwanamke ni inferiority complex!! ongoka utoke huko!!
Naomba kupata mawazo yenu
imekaaje kwa mwanamke 'kumhonga' mwanamme?

Nadhani nimeishi kwenye jamii amabayo mwanamme ndio 'breadwinner' na ndio inaonekana halali hata yeye kumhonga mwanamke na si kinyume chake.

Labda nitoe mfano
Mdada ana kipato kuliko mpenzi wake (ikimbukwe si mme)
Na kuna vitu ambavyo anataka kumpa ili waende sambamba
vinaweza kuwa vitu vidogo vidogo kama mavazi n.k na aina hizo za huduma.

Je hii imekaaje? Inakubalika machoni pa walaji?
Na kama wewe ni mkaka mwanamke akikupa vitu hivyo utajisiakiaje?
 
Mi naona kuna tofauti pale mwanamme anapokuwa ana kipato kuliko mwanamke
Hapo mwanamke hata akimpa ataoneka anampa zawadi tu sababu kapenda na mwanamme kaamua kuchukua tu.

Lakini pale mwanamke anapokuwa na kipato kuliko mwanamme, lazima utasikia 'huyu dada kiazi kweli, anamhonga mwanamme. Yaani anamnunulia kila kitu hadi pichu'

Watu huwa hatuisemi kama ' a giving heart' rather mwanamke anaonekana 'mjinga au kipofu wa mapenzi'
Kongosho sijui maisha kwanii yako bias kwa mwanamke. skiliza mwanaume aitoa inaonekana ama kutoa kwa ulazima lkn mwanamke inaonekana kama analinunua penzi umeona eeh! Ila ukweli binafsi nilipopenda hata pesa ya gesti nilitoa pale ambapo mwenzangu alitindikiwa na pia kwakua nilikuwa napenda apendeze basi hata pamba nilimnunulia za woolworth sikuweza lkn za manzese nilimudu.

ila sasa kuna wale ambao wananunua penzi kabisa wazwazi hili nimelishuhudia pale jimama linapomlea kijana hali akijua no future ni just kula raha tu. mimi hii huwa si admit kabisa mara nyingi hawa huwa wanatoa hela mpaka milion wa kijana sasa najiuliza what next?
 
Last edited by a moderator:
pamt, nadhani wewe umenielewa kabisa.

Nimefikia kuandika haya baada ya kuona rafiki yangu akipata changamoto toka kwa kila mtu anayemzunguka.
Kisa ana mahisiano na kaka anayemzidi sana kipato, so kuna vitu inabidi ampe ili waende sambamba.

Kuna raha gani ya kutoka na mwanamme wewe mwanamke umemzidi sana na hali waweza mpiga tafu mkawa karibu sawa?
unajua neno kuhonga halisound vizuri.. Tatizo kubwa la jamii yetu; mwanamke akimfanyia kitu mwanaume itaitwa kuhonga. cha msingi ni kudecide mapenzi yenu mnayaendesha kama nyie mnavotaka au kama jamii inavotaka.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom