ndo ivo kongosho ipo hivi mwanamke akimpa mwanaume kitu kipo katika milki yake mfano kamnunulia nguo ili apendeze...hapo mwanamke anafaidi kule kupendeza kwake yaani ile benefit ya zile nguo mean kupendeza kwa yule kijana...mwanamke anafaidi eg kuringishia mashostisho boy wake ni hb n.k.au kumpa gari ili tu boy wake aonekane kidume na yeye anadrive but hawezi kumilikisha kamwe mwanamke anataka output iwe ni kwa wote...lakini mwanaume tunasema anahonga ..maana anatoa kitu ili mwanamke afurahi akikupa mfano hela hata ukienda kuzitumia kwa mwanaume mwingine yeye hajali anahonga tu ili mwanamke afurahi.....wanaume wanatoa kwa love zaidi naona...mtotowamjini na cartura, umeona Smile alivyosema?
Mwanamme analelewa sio kuhongwa.
Na nimeona mara nyingi sana mwanamke anakuwa criticized kwa kumpa vitu mwanamme hasa anapomzidi kipato.
Utasikia kazi 'kulea wanamme tu'
Kongosho sijui maisha kwanii yako bias kwa mwanamke. skiliza mwanaume aitoa inaonekana ama kutoa kwa ulazima lkn mwanamke inaonekana kama analinunua penzi umeona eeh! Ila ukweli binafsi nilipopenda hata pesa ya gesti nilitoa pale ambapo mwenzangu alitindikiwa na pia kwakua nilikuwa napenda apendeze basi hata pamba nilimnunulia za woolworth sikuweza lkn za manzese nilimudu.
ila sasa kuna wale ambao wananunua penzi kabisa wazwazi hili nimelishuhudia pale jimama linapomlea kijana hali akijua no future ni just kula raha tu. mimi hii huwa si admit kabisa mara nyingi hawa huwa wanatoa hela mpaka milion wa kijana sasa najiuliza what next?
Kuna raha gani ya kutoka na mwanamme wewe mwanamke umemzidi sana na hali waweza mpiga tafu mkawa karibu sawa?
ndo ivo kongosho ipo hivi mwanamke akimpa mwanaume kitu kipo katika milki yake mfano kamnunulia nguo ili apendeze...hapo mwanamke anafaidi kule kupendeza kwake yaani ile benefit ya zile nguo mean kupendeza kwa yule kijana...mwanamke anafaidi eg kuringishia mashostisho boy wake ni hb n.k.au kumpa gari ili tu boy wake aonekane kidume na yeye anadrive but hawezi kumilikisha kamwe mwanamke anataka output iwe ni kwa wote...lakini mwanaume tunasema anahonga ..maana anatoa kitu ili mwanamke afurahi akikupa mfano hela hata ukienda kuzitumia kwa mwanaume mwingine yeye hajali anahonga tu ili mwanamke afurahi.....wanaume wanatoa kwa love zaidi naona...
i wish mtu anihonge jamani loh!
Kongosho labda niweke hivi mwanamke anayenunua penzi ni stail ya sugar mummy ambaye Smile anamsemea huyu siipend tabia yake kabisa.Hapo sasa, mara nyingi mwanamke anaonekana ananunua penzi.
Hivi jimama ni mtu wa aina gani?
Naamini kabisa si kila mahusiano huishia kwenye ndoa, sasa kwa hali hii basi, je mahusiano yote ambayo tunatakiwa kusaidiana lazima yawe na future (future=ndoa)
Kama hakuna future kwenye mahusiano, si sahihi kusaidiana?
kama kweli unampenda, utampiga tafu ili muende sambamba... changamoto ni pale unapompiga tafu, halafu na yeye anakwenda kutangaza udume nje ya uhusiano wenu
kweli besti mimi ni mlaji tu kwa kweli....sio vizuri mwanamke kujitutumuuuuua kumlisha mwanaume..heshima mbela bwana...mimi kazi kumtii na kumheshimu na malavidavi basiiiiiiiiiiimimi nataka kuhonga ila DINI INANIKATAZA
since jukumu langu ni kuzaa kwa uchungu basi jukumu lake ni KUNIHONGA in a form of kunitunza,kunilisha na kunivisha...na km atujaoana bas tukienda out alipe yeye bili yooooooooooooootemie akhukimyaaaaa ata km nina mijipesa ya kutosha
mimi akishanitia mimba atansaidia kutema mate
atansaidia ku push?
atansaidia kunyonyesha?
akhuu babu kila mtu achukue jukumu lake km amambvyo awez toa msaada kwenye uanamke wangu na swaga zake esp into mimba na kuzaa bas nayeye abebe tu majukumu yake
km kusoma yes tumesoma wotena usawa nahuitaji lakin isje ikawa unataka usawa wa nkusaidie majukumu apo nooo cz u wont b able kunsaidia kwenye majukumu yangu
my take:
mungu alishatoa specilization na division of labpur sa iweje nyie waume wa zama izi mwataka kuvunja utaratibu?
nan aliyewaloga?
bas nawaasa eny waume kuwen imara kunako majukumu yenu na muyatende mpaswayo kutenda pasipo lalamo lolote
its me....MWANAMKE KAMILI MWENYE KUZINGATIA KANUNI....espe zinazogusa dinari hah ahah...raha jaman...umenuna mwenyewe lione...nkuonge ili iweje?
ukiongwa thats ushahasiwa....ur no longer a man...et mwataka kulelewa siku iz ahh...ata kutongoza mpk akuchunguze kwanza una nini ndo aje akutongoze ahh wanaume wa siku iz weng wao hawana tofaut na fenicha...
kweli besti mimi ni mlaji tu kwa kweli....sio vizuri mwanamke kujitutumuuuuua kumlisha mwanaume..heshima mbela bwana...mimi kazi kumtii na kumheshimu na malavidavi basiiiiiiiiiii
mungu alishatoa specilization na division of labpur sa iweje nyie waume wa zama izi mwataka kuvunja utaratibu? [
na huku sio kuhonga ni kubadilishana vijizawadiKuhonga au kuhongwa...mbona mambo sawa tu...si ndio sehemu ya mapenzi