Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
- Thread starter
- #21
NAKUPENDA.wil u mar me?
Sure I will
NAKUPENDA.wil u mar me?
kweli sie hua waoga ila kupenda tunapenda kweli kama miye ninavyo mpenda mfungwa Ivu....a yani basitu
Hivi ulijuaje ukatoa hiii mzee? unajua umeniaidia ee.
Mmmh!
Mi siwezi, nitakufa nalo rohoni. Lol!
Kwenye movie labda! labda nionyeshe ishara sio kumtamkia
sikuona apa .bt m ready told u ...NAKUPENDA..WL U MAR ME?
ahh wanaume wenyewwe awa?
NAKWAMBIA USO WA MBUZI PAAHH KAKA NAKUPENDA UNASEMAJE SASA?
NGONO APANA KM UNANIFILI TULIANZISHE APO BADAYE MPANGO KAMILI KM HAUNIFIL ATA KDG NAMBIE NISEPE ..UNASEMAJE?
dah lazima aende akawasimulie wenzake...nimekutana na mzimu km demu mwana umeniiimbisha ivi iv bila projecta kitu live...hahha hahh!
Mfano wa ishara hizo....huenda nimeshaziona sikuzifahamu:coffee::coffee:
ahh wanaume wenyewwe awa?
NAKWAMBIA USO WA MBUZI PAAHH KAKA NAKUPENDA UNASEMAJE SASA?
NGONO APANA KM UNANIFILI TULIANZISHE APO BADAYE MPANGO KAMILI KM HAUNIFIL ATA KDG NAMBIE NISEPE ..UNASEMAJE?
dah lazima aende akawasimulie wenzake...nimekutana na mzimu km demu mwana umeniiimbisha ivi iv bila projecta kitu live...hahha hahh!
kweli sie hua waoga ila kupenda tunapenda kweli kama miye ninavyo mpenda mfungwa Ivu....a yani basitu
Hivi ulijuaje ukatoa hiii mzee? unajua umeniaidia ee.
Wanawake ndio huwa wanafanya approach ya kwanza sema tuu wanaume hatunote hizo signs. Baada ya kunote signs za you may enter, ndio mwanaume anafanya move.
Mimi kumtokea mtu siwezi, na kwanza sijui kama nimewahi kumpenda mtu ambaye hajaniambia kuwa ananipenda. Ila kueleza feelings zangu kwa mpenzi wangu ni mara nyingi tu sababu naamini ana haki ya kujua feelings zangu kwake.
Old school!!!:coffee:
Mie nimejionea mwenyewe hili! Kuna dada mmoja tena january hii alinipigia simu na kuniuliza nipo wapi, baada ya mimi kumwuliza yeye ni nani akataja jina lake na kuniomba kuonana na mimi. Nilimjulisha nilipo na alipokuja, alionyesha alikuwa anaona aibu sana kuniambia shida yake, lakini akaniomba aniambie kwa sms tukiwa tunapata soda, sms ilipo ingia kwenye simu yangu, akasema ananipenda sana tangu siku nyingi, ameshindwa kuvumilia na akaomba nimkubalie ombi lake na yeye siyo malaya! Nikamwambia anipe muda, na tangu siku hiyo, kila siku anapiga simu kuulizia jibu lake, anasema yupo tayari tukapime pamoja kama simwamini kiafya! Hivyo wasichana wa sasa wanauwezo wa kuweka hisia zao wazi kwa wawapendao!
Sinai umenichekesha sana.......... nway I still believe in women hidding in their closet and yet can express their feelings in their own way............body language, body language and body language again
Wanawake ndio huwa wanafanya approach ya kwanza sema tuu wanaume hatunote hizo signs. Baada ya kunote signs za you may enter, ndio mwanaume anafanya move.
Mo' sote binaadam tumeumbwa na mapendo - kwa hiyo sioni ubaya mwanamke akikwambia anakupenda.
Dalili za mapenzi zinaanza kote kwa mwanamke na kwa mwanaume, isopokuwa sisi binadam mara nyingi
tunafikira mbovu - eti mwanamke akikwambia nakupenda ndio ameshakuwa sio mwanamke mzuri kwa tabia
that's wrong.