Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Achana na sisi wewe!rukwa mmezidi, Juzi vikongwe vilifunga ndoa, leo mke anaolewa na wanaume wawili Ebu
Achana na sisi wewe!rukwa mmezidi, Juzi vikongwe vilifunga ndoa, leo mke anaolewa na wanaume wawili Ebu
cio wawl 2! Kuna wa kutoka nae,chuma ulete na mwanaume kazi.i got dis confesion from mwanamke wa huko!Awali niliwah kuambiwa kuwa wanawake wa mikoa ya kusini kama vile mtwara na lindi hususan wamakonde ndio wanatabia ya kuolewa na wanaume wawil lakin hufanya siri sana,hakuna mume anaejua kati yao......ila hii kali
si umeona inawezekana ? pamoja na TF tupangie ratiba tu mi siku 4 TF 3 sawa ?Sio mara yangu ya kwanza kusikia
story kama hizi....
Sijui ndio ku fix lile tatizo la wanawake
Wengi na wanaume wachache....
We sitafuti tenaNa TF tumemalizana..Kila kizuri kina mwisho wake..si umeona inawezekana ? pamoja na TF tupangie ratiba tu mi siku 4 TF 3 sawa ?
Kwahiyo lovely lips yuko available hii taarifa nzuri sana.We sitafuti tenaNa TF tumemalizana..Kila kizuri kina mwisho wake..
MmhhWewe sikusema mi availablebali nimesema siko na TFNa si tafuti...Kwahiyo lovely lips yuko available hii taarifa nzuri sana.
Kwani nisubiri uweke tangazo ? kuwa singo tu imetosha hayo mengine ni juhudi tu lol!MmhhWewe sikusema mi availablebali nimesema siko na TFNa si tafuti...
Mhhhhh Sikuwezi ..Kwani nisubiri uweke tangazo ? kuwa singo tu imetosha hayo mengine ni juhudi tu lol!
Revolutionary woman! Amecome openly kuliko wengi wetu wenye wapenzi wa siri watatu or more! Big up waume wa mama kaole kwa kuishi kwa kuelewana!
Imagine threesome chumbani? May be they won't reach that extent!
tatizo la wanawake wengi haliwezi kuwa-solved kwa njia hii bana! badala yake lina waongezea uhaba wa wanaume, kwa kuwa hao wanaosemekana kuwa wachache wanaendelea kumilikiwa wawili-wawili ama pengine zaidi.Sio mara yangu ya kwanza kusikia
story kama hizi....
Sijui ndio ku fix lile tatizo la wanawake
Wengi na wanaume wachache....