Nadhani inaitwa POLYANDRY, ipo sana Tibet na maeneo mengine ya Himalayashata india haya mambo yapo.... sio ajabu saana kuna secrets polygamy za aina hiyo nyingi tu
Heh! Kumbe ndio standard hiyo!Mhhh hii kali pia iliwahi tokea mwanamke mmoja sinza-afrika sana kuwa na ndoa ya wanaume wawili na wote anawahudumia bila ya wao kujijua!!duuh ana ubavu huyu bibie maana standard inatakiwa kwa wiki umuingilie mkeo mara 4 sasa hao wawili ina maana mara 8 kwa wiki duuh anawezaje kila siku kutoa mzigo?
Qn: a man with more than one wives is known as POLYGAMIST, Now, how can we call Veronica?
Hiyo ndo haki sawa kwa wote jamani, tusishangae sana!!
chaupepoqn: A man with more than one wives is known as polygamist, now, how can we call veronica?
Mhhhhhh! Madame KH!? usawa eeh!? hahahahahah lol! Haya bhanaaa! Na siku hizi kuna DNA akipatikana kiumbe kama hafanani na mababa hao wawili basi DNA inaweza kutumika, labda nayo isione kitu kumbe mama kajirusha viwanja vya ugenini kwa raha zake