Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,030
- 10,209
yaani house wife ana-deserve tena more than 100% maana huyo muda wote yupo home kuangalia familia, hiyo ndo kazi yake, na hana mshahara. na baba atakaye mtelekeza huyo mama sidhani kama atasamehewa.
sasa mwenzangu na mie unafanya kazi, una mshahara, unataka kila kitu kifanywe na baba................. nauliza tena na tena, wamama wa hivyo hela zao wanaona zinastahili kufanyia nini? kama chakula, mavazi, malazi, saluni ...... kila kitu kitoke kwa mume?
Kujenga kwao na kusaidia wadogo zake ada ya shule