MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Ni kwa utafiti wangu nimekuja kugundua kuwa, iwapo unafanya kazi au ni mtafutaji wa maisha, hapa ninamaanisha ya kuwa wewe si tegemezi au goalkeeper mara nyingi unakuta kuna haki zinapotea au hutendewi na mumeo.
Maisha ya sasa ni sawa kusaidiana, lakini ndoa za leo ukiwa unafanya kazi unakuta jambo la mume kukuhudumia wewe halipo kivile. Kuna zile huduma ambazo ni za joint account kama mambo ya nyumba na watoto. Lakini mume anawajibu hata kama sio kila mara ni lazima kumnunulia mke nguo, salon expense au time to time to provide with her needs can be anything, hapa simaanishi physical needs. Hii inatoka directly katika mfuko wa mume.
Lakini siku hizi ukiwa una kaincome kidogo sahau mume kukupa hata pocket money, mume bora anaweza kupimwa na hizi three Ps; Profess, Provide and Protect kama alivyosema Steve Harvey. Na hii issue inagusa kwenye providing.
Wataalamu hebu tiririkeni
Maisha ya sasa ni sawa kusaidiana, lakini ndoa za leo ukiwa unafanya kazi unakuta jambo la mume kukuhudumia wewe halipo kivile. Kuna zile huduma ambazo ni za joint account kama mambo ya nyumba na watoto. Lakini mume anawajibu hata kama sio kila mara ni lazima kumnunulia mke nguo, salon expense au time to time to provide with her needs can be anything, hapa simaanishi physical needs. Hii inatoka directly katika mfuko wa mume.
Lakini siku hizi ukiwa una kaincome kidogo sahau mume kukupa hata pocket money, mume bora anaweza kupimwa na hizi three Ps; Profess, Provide and Protect kama alivyosema Steve Harvey. Na hii issue inagusa kwenye providing.
Wataalamu hebu tiririkeni