Ilokuza Jr
Member
- Jul 27, 2016
- 27
- 10
Mkuu hapo ndipo mnapokosea. Mnahalalisha kosa kwa kosa et kwa kuwa ccm wamefanya vile nasi tutafanya vivyo hivyo. Hapo ndipo mnapokosea. Walah nakuambia iyo sept mosi mtapata mandezi tuu .Tena ikiwa jumatatu ndo hamtopata watu. Andaeni nguvu na mfungue moyo ili watakapopitisha upupu msikimbie. Yangu macho . Siku iyo ntapiga mision town zangu kama kawa yaan. Maana siasa n utapeli tuu. Leo ukiambiwa hii nyeusi kesho utaambiwa no hiyo n nyeupe siyo nyeusi. Aliekuwa anaiita nyeupe ataanza kusema no hiyo nyeusi. Just like vicious cycle of povertyCCM wanaipractice katiba ndani ya chama chao? Tangu lini? Sasa wameanza na kutoiheshimu na katiba ya nchi. Watangaze basi rasmi kwamba Tanzania haina katiba Rais ataamua atakavyo na hakuna mwenye haki ya kuzuia maamuzi ya Rais na pia vyama vya uupinzani vimefutwa ili turudi enzi za ujima za chama kimoja.
Vinginevyo huu unafiki wa nchi yenye kufuata utawala wa sheria kupitia katiba ya nchi na nchi yenye mfumo wa vyama vingi wakati kuna dikteta ambaye haheshimu yote haya lazima unafiki huu upingwe na wote wanaoitakia nchi yetu mema.