FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Kama sehemu ni yangu je? Naibaje muda wa kazi kama naamua mwenyewe nini cha kufanya na wakati gani?
Umeshasema ni yako, hii imewalenga waajiriwa wanotumia muda walioajiriwa na vitendea kazi walivyopewa na waajiri wao.
Hata mimi natumia yangu niliyochumia juani, sasa nailia kivulini. AlhamduliLlah