hehehe sikutegemea kama NN unalijua hili neno.Kuntu!
hehehe sikutegemea kama NN unalijua hili neno.
Kwa nini nisilijue wakati limo katika msamiati wa Kiswahili sanifu. Unamdharau Ngabu eeh?
Nina tajiriba mahuluti inayonipa uwezo wa kuongea na kuandika lugha kadhaa kwa ufanisi wa hali ya juu. Kama hiyo haitoshi, pia ni mtaalamu wa isimu. Isimu matumizi na isimu elekezi.
Niendelee?
hapana siwezi kukudharau,nakuheshimu sana.
Taib..
baeleze mkuu!Amakweli asili haipotei...nyie kila mahali mnachakachua tu! Hebu oneni, tayari mmeshaharibu maana ya hili lisredi!
wee Rocky wewe!Duh kweli amepoteza maadili
Ila ana zawadi leo anatoa zawadi kwa waumini. Unaweza shangaa vogue ya Bishanga unaipata wewe
hujambo Faiza?Wanaonikera ni wote wale ambao wanaacha kazi zao muda wa kazi na kuingia JF hao ni wizi wa muda wa kazi na wizi wa mali ya sehemu wanayofanyia kazi. Kuiba ni kuiba iwe muda, ma Gb's mnayoyatumia bure.
Halafu wao ndio wa kwanza kujidai fulani fisadi, fulani fisadi, wakati wao ni mafisadi wa kwanza kuhujumu mali za sehemu zao za kazi.
Ikiwa unaiba masaa mawili ya kazini kila siku kwa kuingia JF ina maana umeshaiba zaidi ya masaa 40 kwa mwezi, hizo ni fedha ngapi kwa mwaka? Mbali ya ma gb uliyotumia. Halafu mnalalamika mishahara haipandi.
Mr Rocky,what a beautiful way to end a year! Hongera mkuu,mtoto mashallah roho yake imekudondokea!mimi hakuna aliyeniboa kiasi cha kumtundika hapa ila nimekuwa obsessed by Mr Roky......kila nikiona hyo avatar mie mwenzenu nguvu sina, kwa mwaka huu mzima hyo avatar imekuwa ikinisumbua sana naomba nikiri leo
Lizzy & The Finest ..
Sababu wanazijua wenyewe
mimi hakuna aliyeniboa kiasi cha kumtundika hapa ila nimekuwa obsessed by Mr Roky......kila nikiona hyo avatar mie mwenzenu nguvu sina, kwa mwaka huu mzima hyo avatar imekuwa ikinisumbua sana naomba nikiri leo
Mr Rocky,what a beautiful way to end a year! Hongera mkuu,mtoto mashallah roho yake imekudondokea!
AD,hilo nalo neno!
Ngoja waje wenyewe sijui utapitia tundu gani.
YANI WEWE NDO NAKUCHUKIA NA SBB 1. UNAONA MEMBER WENZIO HAWAJUI WE NDO MJUAJI NA MWENYE HAKI, udhibitisho huo hapo juu 2. Unajishebedua sn kwa kujidai hakuna member anayekuweza kwenye english eti wewe ulikua mwalimu english uingereza wakati unaandikaga broken english mara kibao 3. Unasera zilizopitwa na wakati 4. ULINISABISHIA BAN NA HADI LEO NIKO KWENYE BAN bila sbb ya msingi.*~'* I hate you old woman
Wanasayansi wamesibitisha kwamba carrot zinasaidia sana kwa afya ya macho