Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wana-JF,
Gazeti la Mwanahalisi la leo ni moto wa kuotea mbali. Ndani ya stori yao kuu ya leo kuna habari kuhusu yale aliyoyatamka Marando katika Viwanja vya Jangwani siku ya Jumamosi hadi TBC wakamkata. Leo gazeti hilo limeweka bayana kwamba Marando alikuwa anauhakika asilimia 100 kilw alichokisema -- jinsi CCM ilivyofanya hujuma kubwa ya kihistoria kwa Watanzania pale viongozi wake wakuu walipokula njama kuibia BoT mabilioni kupitia akaunti ya EPA.
Mwanahalisi limeweka bayana, tena kwa undani kabisha na kwa ushahidi usiopingika kwamba aliyosenma Marando hayakuwa matusi au kejeli yoyote, bali ni ukweli kabisa kwamba CVCM ilituma watu kuchota mahela hayo kwa ajili ya kufanyia kampeni zilizoimwingiza JK mwaka 2005.
Wana-JF ntajaribu kupata soft copy na kuiweka hapa muda si mrefu, ikishindikana nitajaribu kui-key story na hasa zile ibara husika. It's damaging to CCM. It really is!!!!!!
Gazeti la Mwanahalisi la leo ni moto wa kuotea mbali. Ndani ya stori yao kuu ya leo kuna habari kuhusu yale aliyoyatamka Marando katika Viwanja vya Jangwani siku ya Jumamosi hadi TBC wakamkata. Leo gazeti hilo limeweka bayana kwamba Marando alikuwa anauhakika asilimia 100 kilw alichokisema -- jinsi CCM ilivyofanya hujuma kubwa ya kihistoria kwa Watanzania pale viongozi wake wakuu walipokula njama kuibia BoT mabilioni kupitia akaunti ya EPA.
Mwanahalisi limeweka bayana, tena kwa undani kabisha na kwa ushahidi usiopingika kwamba aliyosenma Marando hayakuwa matusi au kejeli yoyote, bali ni ukweli kabisa kwamba CVCM ilituma watu kuchota mahela hayo kwa ajili ya kufanyia kampeni zilizoimwingiza JK mwaka 2005.
Wana-JF ntajaribu kupata soft copy na kuiweka hapa muda si mrefu, ikishindikana nitajaribu kui-key story na hasa zile ibara husika. It's damaging to CCM. It really is!!!!!!