Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
Si ndio maana wanasema ni upepo wa kisiasa. Mbinu walizokuwa wakizitumia kutudanganya zimepitwa na wakati mkuu. Wanatakiwa wabadilike sana. Si kwamba tunaichukia CCM bali tunachukia namna yao ya utendaji na hapo ndipo tutakapotafuta utendaji mpya popote pale
na kwa namna yoyote ile pamoja mkuu