Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo

Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.

karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.

Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
nifanye je ili nielew geographi nipo kidato cha sita
 
logx^2=x/25
Consider R.H.S and introduce log10
logx^2=x/25log10.
but x/25=4x/100.
Hence,
logx^2=4x/100log10
logx^2=x/100log10^4.
logx^2=x/100log100^2.
By comparison between LHS and RHS
x^2=100^2.
x=100.
Or
1=x/100.
x=100.
Mkuu hili ni tango pori..
 
log x² = x/25
2logx = x/25
log x = x/(25*2)
log x = x/50

(log x)/x = 1/50

x/x = log-¹ (1/50)
1 = log-¹ (1/50)

If x cancels out, you can't calculate its value...!

Nani kakwambia x inacancel out hapo mwishoni.? Principle za logarith hazisemi kiti kama hicho. hapo mwisho inatakiwa iwe

X^(1/x)= log-1 (1/50)
 
Hili jukwaa inabi kila siku kuwe na ratiba ya somo husika. Na liwe na title yke.mfno advance class
 
Soln
1 metre square = 1 metre × 1 metre
1000 metre square (underoot this)
Yuo get
31.62 as a metres

= 31.62metres

Katika principles za dimensions huwezi linganisha hivyo vitu. Huwezi sema 1000sqm ni sawa na 31.62 m sababu hazilingani maana moja ni eneo na ngingine ni urefu. So umekosa.
 
logx^2=x/25
Consider R.H.S and introduce log10
logx^2=x/25log10.
but x/25=4x/100.
Hence,
logx^2=4x/100log10
logx^2=x/100log10^4.
logx^2=x/100log100^2.
By comparison between LHS and RHS
x^2=100^2.
x=100.
Or
1=x/100.
x=100.
Hapo kwenye kulinganisha umelinganishaje.? X/100 umeipeleka wapi..? Hiyo inaitwa kufoji.
 
Hapo kwenye kulinganisha umelinganishaje.? X/100 umeipeleka wapi..? Hiyo inaitwa kufoji.
Mkuu nimetokea hapa.
logx^2=x/100log100^2.
si ni sawa na kuandika
(1)logx^2=(x/100)log100^2.
halafu
1=x/100.
Hapo vp?
 
Mkuu nimetokea hapa.
logx^2=x/100log100^2.
si ni sawa na kuandika
(1)logx^2=(x/100)log100^2.
halafu
1=x/100.
Hapo vp?

Ulichokifanya hapo si sahihi kihisabati, Na katika kanuni za logarithms hakuna kanunu kama hiyo. Hapo umefoji, ingawaje jibu lipo sawa lakini njia si sahihi.
 
Katika principles za dimensions huwezi linganisha hivyo vitu. Huwezi sema 1000sqm ni sawa na 31.62 m sababu hazilingani maana moja ni eneo na ngingine ni urefu. So umekosa.
Naomba ufanye wewe tuone jibu lako na njia
 
Kusoma kwenyewe wanasoma bure alafu wanataka wafundishwe hadi waelewe ndio itakua kauli mbiu yangu iyo mwanafunzi akisema hatujaelewa
 
Back
Top Bottom