Maisha kweli ni kitendawili.
Tena kigumu kukitegua.......
....hasa kinapokuwa ni kitendawili cha mapenzi......mapenzi yanauwa acheni masihara..
Lakini inawezekana maisha yamemuendea hivyo sivyo....sababu zinaweza kuwa nyingi na hakupata muda wa kumshirikisha mtu wake wa karibu kwa ushauri na msaada.
tena ingekuwa bora yule aliuza vitalu vya uwindaji akanunua jumba la billions kadhaa...
inawezekana kabisa mana mapenzi yanaweza yakakufanya uchukue maamuzi ambayo ukuwahi kuwaza kuyafanya.pole kwa wafiwa.
Unaweza kuta mapenzi.
huyo jamaa ni jasiri sana. Hajaacha ujumbe?
habari janelo