Nimelia sana sana, tuliongea juzi. Kwanini afe yeye tu? Hapana aiseee. Nimelia sana tulikua pamoja, Mama yake ndio Mama yangu, familia yake ndio yangu, tukipokuwa shambalai tuliamua kuhamia wote kwenda Magamba school. Why?
What exactly happened?
Sawa ni ajali, lakini ilitokeaje....tufahamishwe basis.
Gari imegonga mti? Imepinduka? Zimegongana uso kwa uso?
How? How?......kwa sababu huyu kamanda ni miongoni mwa wana JF ambao possibility yao kuingia bungeni ilikuwa ni over 90%!
Kwa kweli it pains, lakini hatuna jinsi. Kamanda katangulia mbele ya haki.
R.I.P kamanda....lakini tunakuhakikishia huko huko uliko, hamasa yetu ya mabadiliko nje ya CCM ndiyo imeongezeka zaidi!!
Aluta continua!