The Quonquerer
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 777
- 111
Hiyo ya kabinti ilitokea lini? Nina data nyingi za hao jamaa, si Nyambele wala Ntukamazina wote kazi yao ni kula wake za watu na vibinti vya watu, sijui wana pepo za ngono..tena za uzeeni. Huyo mwingine anajifanya kwenda kunywa bia kwa tuombe, kumbe kwenda kula mke wake, na jamaa linashangilia eti lina mteja mzuri anayeleta hela! Aibu kabisa! OK, maybe hayo tuyahold constant, ukweli ni kwamba upinzani Ngara bado, bora hata Ruhuza anawatia tumbo joto CCM, CHADEMA bora kufanya strategy nyingine, hivi wana hata ofisi?Mchangiaji Namaki amemtaja mgombea wa jimbo la Ngara kana Nuru Mpya kwa maendeleo ya Ngara. Nilitegemea atuambie baadae kuwa NURU MPYA IMEFIFIA. Baada ya kushindwa kuanza kampeni kutokana na matatizo ya afya ya muda mrefu ya Bw. Ntukamazina, tulitegemea wananchi wa Ngara kuambiwa ukweli juu ya afya yake. Ukweli ni kwamba kazi ya ubunge haiwezi tena hata kama CCM wanahaha kumpitisha huku wakikampeini kwa kuonyesha picha yake tu.
Aidha kashfa ya kutembea na mtoto mdogo wa Form I iliyotoka kwenye mtandao ni ya kweli. Jambo ambalo halikuelezwa ni kwamba mhanga wake huyo ni binti wa jirani yake waliosoma pamoja enzi za Middle school. Mimi nimefanya kazi chini yake pale Utumishi. Mwandiko ule haina shaka lolote kuwa ni wa kwake na haujabadilika tangu nimfahamu. Namba ya simu iliyowekwa ni ya kwake na imebadilika kuwa 0784. Si hayo tu, pale ofisini utumishi aliigeuza ofisi yake kuwa chumba cha kulala na wanawake na hata masekretari wake. Huyu ni FATAKI wa muda mrefu na ugonjwa wake wa mgongo unaweza kutokana na overuse!
Mpaka sasa wanaomtetea kwenye mtandao hawamjui na kama wanamjua, ni makuwadi wake. Tungependa ajitokeze hadharani na kukanusha kama yeye siye mwandishi wa barua ile kwa kabinti kale. Tayari sisi tumekwisha kupeleka mwandiko wa barua ile kwa wataalamu na wamelinganisha mwandiko na dokezo la ofisini aliloliandika kwa mkono wake. Hakuna shaka. Akanushe hadharani halafu tuuthibitishie umma. Tutatoa ushahidi zaidi wa vetendo vyake vichafu kwa watoto wa marafiki zake waliomwamini ikiwa ni pamoja na mwanajeshi ndugu yake aliyefariki na kumwachia kuangalia familia yake.