Baba yetu JK mwanakioo cha jamii ndugu yetu Small Wangapa anumwa ambapo amepooza mguu. Kwa Taarifa hii tunaomba umsaidie naye kama ulivyomsaidia mwanakioo cha jamii ray c kwani naye badotunamhitaji na hasa ukizingatia mchango wake mkubwa alinao katika jamii ya watanzania kupitia sanaa yake ya maigizo.