LUSAJO L.M.
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 270
- 126
Sio kila aliye soma elimu imemsaidia wengine huenda shule kukua na kupunguza disturbance nyumbani huyu dogo anawezakuwa mojawapo. Hata hivyo mwana FA. Is lolote kwa JDEEE mama uko juu wanakupiga teke ni kama wanakuongezea mwendo upo juu sana hii takataka isikupotezee appetite
Hilo linawezekana kabisa, tatizo JF tunapenda sana kuhukumu bila kuangalia mambo kiupana zaidi. Katika show ya MwanaFA kuna vitu vikuu vifuatavyo:
1. Kilimanjaro Band (Wameanza mazoezi ya hii show pamoja August Mwaka jana na wakarekodi wimbo "Kama Zamani" maalumu kwa ajili hiyo mwezi Novemba mwaka jana.
2. Limited Seats (Ni show kwa ajili ya mashabiki 400 tu)
3. Inalenga kuleta mabadiliko katika medani ya muziki.
Tujaribu kufikiria kwa mapana zaidi katika hili. Swali la Haraka: Je bendi ambazo zitakuwa na maonyesho tarehe 31.05.2013 zitasitisha maonyesho yao katika kumsapoti JayDee?