Jamani wanajamii naomba tujiunge pamoja kumsaidia Rachel,naona adhabu aliyopewa ni kubwa sana na ukizingatia kuna hadi mawaziri wana vyeti feki na wanapeta mtaani,sitetei makosa ya mwalimu lakini hii ni mbaya sana,invisible naomba ufatilie hili,Mwanakijiji kaanzi inabidi katembelee mahakamani hii noma tupu.FREE RACHEL.