Mwalimu J.K.Nyerere; Ghadafi Koma Damu Ya Watu Wangu Si Sawa Na Thamani Ya Mafuta Yako..!

Swali kuwa ni lini mwalimu alikuwa rafiki wa Gadafi na angekuwa hai angesema nini kuhusu kifo cha Gadafi ni dalili kuwa mwandishi amekosa hoja na ni mvivu wa kufikiri. Ni mtazamo kuwa kila alilopenda Mwl. Nyerere ndilo sahihi na kila alilolichukia sio sahihi. Ni mtazamo kuwa hakuna anayeweza kuwa na maoni sahihi ila Nyerere. Mwl Nyerere alikuwa mwanadamu wa damu nyama na mifupa.

Hakuwa malaika wala hakuwa mtume wa mwenyezi mungu. Yapo mazuri aliyoyafanya tunapongeza na kuyaenzi na yapo mabaya aliyofanya tunyamaza na kuyaepuka bila kuathiri heshima ya Mwalimu. Kutokana na hali ya Mwl Nyerere kuwa mwanadamu wa kawaida hawezi kuwa kipimo kwamba kila aliyemchukia yeye au kila aliyekuwa hana mahusiano na yeye basi ni mtu mbaya.

Waheshimiwa tunaheshimu sana maoni yenu lakini msitulazishe kuamini mambo mengine kama tunavyoiamini Biblia. Zama za zidumu fkra za Mwentekiti (Mtu mmoja) zimepita sasa kila mwananchi afikiri na fikra zake ziangaliwe. Kama Gadafi alifanya mabaya yasemwe na kama Gadafi alifanya mazuri nayo yapongezwe.

Jibu swali mkuu
 
kulitokea kaurafiki kati ya kikwete na gadafi baada ya jk kumpa gadafi umwenyekiti wa eu, sasa na kauislam jk anasympasize na marehemu sasa membe macho yake yanatazama 2015 anadhani mzee anaweza kumfikilia sasa anamfanyia kazi hiyo
Gaddafi mwenyekiti wa EU? Sikuijua hiyo.
 
Gaddafi alianza kuwa rafiki wa Tanzania, pale alipokuja na a Child brain ya kuifanya Afrika
iwe moja through AU iliyozinduliwa kijijini kwake Sirte, na kulipa outstanding zote za JMT
tulizokuwa tunadaiwa na OAU.

Hilo la kujenga misikiti 10 kura mkoa sina uhakika nalo.
 
Well said! Cc tanzania huwa hatukumbuki wabaya wetu na kilichotendeka miaka ya nyuma, nakumbuka wakati wa kifo cha baba wa taifa 2likataa kabisa idd amin asije kweny msiba, sa mi najiuliza huyu ghadaf ambaye alikuwa suppoter wa idd amin amekuwa na wema gani kwetu had membe akulilie? Nimepoteza matumain kabisa na hii serikali! Shame on u membe!
Jamani ebu jielimisheni kwanza kabla hamjaanika ujinga wenu hapa. Idd Amin kuja kwenye msiba wa Nyerere? Akitokea wapi?
 
Benard ni muislamu na ana undugu wa damu na Kikwete. Anachotushawishi kumlilia Gadafi ni misikiti aliyojenga Tanzania kama ule msikiti wa dodoma.
Nimemshangaa Benard anaongelea ' chini ya uvuguni' kuwalaani NATO na marekani kwa kutandika Gadafi.
Ningempongeza Benard(na serikali yao!) kama wangepaza sauti kupitia BBC na kuwakemea hao NATO, USA na Ufaransa hapo ningemuona yeye anamsimamo usio yumbishwa au angeenda pale ubalozi wa USA atoe statement hizo!
Infact, nchi zote tegemezi za Africa zimefyata mkia kuzungumzia swala la Libya.
Kiongozi mwingine nililye mshangaa ni Museven wa Uganda, Amediriki kuwaruhusau askari 100 kutoka USA eti kusaidia/ kushauri jeshi la Uganda kumkamata/kumdhohofisha Joseph Konyi (IQ? Uzee?..). Kwa mtizamo wangu, hawa wanajeshi waliopo Uganda wana 'spy' uwezo wa kijeshi wa Uganda(silaha walizo nazo,uwezo wa kupigana, strategic locations e.t.c) ili baada ya miaka 2 wamtwange Mseveni kama walivyofanya kwa Gadafi.
......Uganda kuna reserve ya mafuta ya kutosha.... Nikijaribu kuforecast, nadhani hii (Wakati marekani anamtwanga Museven in near future)itatuadhiiri Tz kiuchumi na kisaikologia pia.
Ushauri wangu kwa Benard, fanya fasta uongee na Museveni, Mshauri awaondoe hao mainteligencia wa marekani hapo Uganda!
 
Wakati wa uhai wake Nyerere aliyasema yafuatayo kuhusu Gaddafi kwenye interview na Nawal El Saadawy of Egypt's El Mussawar iliyochapishwa kwa mara ya kwanza Oktoba 19 1984 Pambazuka - El Mussawar interviews President Nyerere

...We have never cut our relations with Libya; Gaddafi got entangled in the Uganda war against us without really meaning to. Idi Amin was a good actor and pretended Uganda was a Muslim country; amazingly many other countries were also taken in by him. Uganda is not a Muslim country, it is a Christian country, almost as Christian as Southern Sudan. I tried to explain all this to Gaddafi in 1973 when I met him for the first time in Algiers during the Non-Aligned Summit. He had some very vague ideas then about Tanzania. He thought that during the revolution in Zanazibar (1964), Christians had fought against Muslims. I told him that Zanzibar was 99% Muslim and the Zanzibaris, during their revolution, had got rid of their feudalists just as he had got rid of the feudalists in Tripoli in 1969. I wanted to explain this and so get Gaddafi off that hook. He also felt that Tanzania was a Christian country because I am a Christian. But we are very mixed in Tanzania and we have three times more Muslims here than in Libya. But we are also very secular and we do not believe that politics and religion go together in that sense. During the Uganda war, I never wanted to make a big issue out of Libya's involvement in it. Since then, I have tried to get our friend Gaddafi to understand and I think he now has a greater appreciation of what is happening in this part of the world.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana.

- Tulilia alipouwawa Osama, pamoja na kwamba Osama aliishambulia nchi yetu hata kabla ya kuishambulia Marekani.

- Warwanda walipomuua Habyerimana, tukatangaza msiba wa wiki nzima, pamoja na kwamba walipokufa waTZ 2,000 kwenye Spice Islander hatukujali na badala tulifanya Miss Tanzania.

- Wananchi wetu wanateswa Arabuni kwa ajira dhalimu, lakini balozi zetu zinawapotezea mpaka wanaokolewa na vi-NGO vya Ulaya.

- Sasa hivi tunamlilia Ghadaffi pamoja na kwamba alishirikiana na lile joka kuu Idi Amin kuua watu wetu 1978!



BTW: Nimeipenda hiyo picha ya Jenerali akiwa ndani ya pango la huyo nyoka wa kijani.


we acha upumbavu wako. Historia uliofundishwa ilichakachuliwa, Idd Amin alikuwa analinda nchi yake kutokana na uvamizi wa majeshi ya Tanzania yaliokuwa yakimsaidia Milton Obote kurudi madarakani. Kanali Gadafi alimsaidia Idd Amin kulinda sovereignity ya Uganda dhidi ya uvamizi huo haramu.
 
Akitokea Libya. Nduli Idd Amin Dada alihifadhiwa na Gadafi maisha yake yote ya Uhamishoni nchini Libya.
acha kutudanganya wewe usidhani upo kijiweni! Huyo idd Amin mwenyewe pamoja na urafiki na Gaddafi waliokuwa nao mpk kumsidia vita hakuweza kukaa na Gaddafi alipokimbilia huko baada ya kushindwa vita! Akahamia Saudi Arabia mpaka kifo chake (na Gaddafi huyohuyo alimsaidia Yusuf Lule na Gaddafi huyohuyo alimsaidia Museveni kumpindia Yusuf Lule)! Unajua kwanini alifanya hivyo? walikorofishana punde tu jamaa alipotia mguu Tripoli! Gaddafi hakuwa mtu wa kuaminika kabisa (kigeugeu) ndio maana aliitwa mad dog of Middle east
 
Jamani ebu jielimisheni kwanza kabla hamjaanika ujinga wenu hapa. Idd Amin kuja kwenye msiba wa Nyerere? Akitokea wapi?
Samahani wakuu kutoka nje ya mada,mimi nimevutiwa na picha ya Jenerali Ulimwengu hapo akiwa kijana.kilichonivutia ni muonekano wa mtu makini na smart! Zamani ulikuwa unaweza kugundua smartness ya mtu hata kwa kumtizama tu! Siku hizi kwa vijana wa kileo muonekano si kivile!
 
we acha upumbavu wako. Historia uliofundishwa ilichakachuliwa, Idd Amin alikuwa analinda nchi yake kutokana na uvamizi wa majeshi ya Tanzania yaliokuwa yakimsaidia Milton Obote kurudi madarakani. Kanali Gadafi alimsaidia Idd Amin kulinda sovereignity ya Uganda dhidi ya uvamizi huo haramu.

Nakuonea huruma. Na hata kama ingekuwa kweli (japo siyo) kwamba tulivamia sisi, basi hatutakuwa wa kwanza duniani kuvamia nchi nyingine. Na ni jambo la kujisifia kwa kiasi fulani kuwa tulikuwa tuna balls kubwa kiasi hicho wakati huo.

Leo kwenye BBC wamesema kuwa wanachunguza report mpya kuwa alifanyiwa shambulio baya sana la kijinsia kabla ya kuuawa.
 
[h=2]Hivi membe anajua alichofanywa gadaffi kabla ya risasi????[/h]
NIMEPATA KUONA PICHA YA KUTISHA KWENYE MTANDAO WA YouTube - Broadcast Yourself. kwenye kichwa VIDEO SHOWS MUAMMAR GADDAFI BEING SODOMIZED. WAASI WA LIBYA WALIMKAMATA GADAFI AKIWA HAI NA KUMULAWITI KWA ZAMU KAMA SEHEMU YA KULIPA KISASI KABLA YA KUMUPIGA RISASI.

GADAAFI ALIPOLALAMIKA KUWA WANAMTENDEA KINUME NA MAFUNDISHO YA ALLAH WAKAMWAMBIA KUWA YEYE SIO MUISLAMU NA HIVYO HASITAHILI KULALAMIKA.

PIA WAASI HAO WALIIWEKA MAITI YA GADAFI UCHI NA HADHARANI TOFAUTI NA IMANI YA ALLAH AMBAPO MAITI ZOTE ZA WAISLAMU HAZITAKIWI KUONEKANA .

MAZISHI YA GADAFI YAMEFANYIKA NJE YA IMANI YA WAISLAMU , NA WAISLAMU KATIKA NCHI ZA UARABUNI HAKUNA ALIYE LALAMIKA ZAIDI YA BENADI MEMBE.
NI JAMBO LA AJABU KWA MEMBE KUMUTETEA GADAFI AMBAYE HATAKIWI NA UMMA WA WAISLAMU NA UARABUNI KIASI CHA KULAWITIWA.

SERIKALI YA TZ WAKATI WA NYERERE ILIMUCHUKIA SANA IDD AMINI KWA KUTULETEA VITA AKISAIDIANA NA GADAFI.
UCHUMI WA TZ ULIYUMBA KIPINDI HICHO CHA VITA AMBAPO PESA KUBWA ILIPELEKWA KUNUNUA SILAHA BILA KUZALISHA.
ASKALI WA GADAFI WALIKAMATWA NA NGEGE YAO ARUSHA WAKATI WANAJIAANDAA KUHUJUMU TZ.

SASA INAKUWAJE MEMBE AMULILIE GADAFI ????

KAMA MEMBE ANA UCHUNGU NA WATU WANAO KUFA NI KWANINI ASIMULILIE OSAMA BIN LADEN AMBAYE PIA ALILIPUA UBALOZI WA MAREKANI??


KATI YA GADAFI NA OSAMA NANI KALETA MAAFA MAKUBWA KWA WATANZANIA??


OSAMA KALIPUA UBALOZI WA MAREKANI TZ WAKATI GADDAFI KASAIDIANA NA IDDIANI NA KUUA ZAIDI YA WATANZAINIA 10,000 BUKOBA WAKATI WA VITA.

ANGALIA GADAFI ANAVYO LAWITIWA UPATE UKWELI​


progress.gif
Edit Post Reply Reply With Quote





[h=2]JamiiForums Message[/h]


Cancel Changes


[h=3]Errors[/h] [h=3]The following errors occurred with your submission[/h]
Okay


[h=3]
reply_40b.png
Quick Reply
progress.gif
[/h]
Rich Text Editor
Toolbar Source Remove Format Paste from Word Paste as plain textFontFontSizeSize Text Color Smiley Undo Redo Table Table Properties Delete Table Insert Row Before Insert Row After Delete Rows Insert Column Before Insert Column After Delete Columns Subscript Superscript Insert Horizontal Line Bold Italic Underline Align Left Center Align Right Insert/Remove Numbered List Insert/Remove Bulleted List Decrease Indent Increase Indent Link Unlink Image Insert Video Wrap
tags around selected text Wrap
Code:
 tags around selected text Wrap [HTML] tags around selected text Wrap [PHP] tags around selected text Wrap [JFMP3] tags around selected text
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cke_contents"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
we acha upumbavu wako. Historia uliofundishwa ilichakachuliwa, Idd Amin alikuwa analinda nchi yake kutokana na uvamizi wa majeshi ya Tanzania yaliokuwa yakimsaidia Milton Obote kurudi madarakani. Kanali Gadafi alimsaidia Idd Amin kulinda sovereignity ya Uganda dhidi ya uvamizi huo haramu.

Hii kali. Mjomba, basi angalau ungekuwa unaangalia TBC siku ya sherehe ya Mashujaa. Utaona jinsi Amin alivyokabidhiwa bendera ya CCM na wanajeshi wake baada ya kuichukua Tanzania kutokana na uvamizi wake. Pia, utamsikia Amin kwa maneno yake akisema, kuwa sasa watapiga mpka Dar Es Salaam. Angalia speech ya Mwalimu, siku anatamgaza vita...'sababu tunayo, uwezo tunao, na nia tunayo...'
 
Mwalimu alikuwa na urafiki na Gadafi. Kule kijijini kw Mwalimu, Gadafi alijenga msikiti mkubwa tu, na guest house ya kulala wanaoenda kuswali kwenye huo msikiti
 
we acha upumbavu wako. historia uliofundishwa ilichakachuliwa, idd amin alikuwa analinda nchi yake kutokana na uvamizi wa majeshi ya tanzania yaliokuwa yakimsaidia milton obote kurudi madarakani. Kanali gadafi alimsaidia idd amin kulinda sovereignity ya uganda dhidi ya uvamizi huo haramu.
hapo kwenye red uko sawa mkuu, tulipotoshwa wakati tunasoma....vita tulijitakia mwenyewe mpaka sasa inatugharimu
 
mc20.jpg


The Desert Fox Jenerali Ulimwengu akiwa na Ghadafi mnamo mwaka 1983 Mjini Benghazi nchini Libya

Ndugu wana jf naomba kuuliza ....
Kumbukumbu za kihistoria zinabainisha kuwa hata mara moja Mwalimu Nyerere hakuwahi kuwa rafiki wa Ghadafi , na baadhi ya matukio yafuatayo yanadhihirisha uhasama huo...
1.Mnamo mwaka 1978 Ghadafi alimsadia Idd Amin dhidi ya Tanzania kwenye vita vya kagera
2.Baada ya vita mwaka 1979 Ghadafi alitaka abadilishane mafuta kwa mateka wa kilibya waliokuwa chini ya majeshi ya Tanzania, Nyerere akamjibu kuwa damu ya watanzania kamwe haiwezi kuwa sawa na thamani ya mafuta.
3.Baada ya azma yake ya kuiunganisha Afrika kukwama aliamua kuitisha mkutano wa machief wa kiafrika lakini hakumwalika hata chief mmoja kutoka Tanzania (kama wapo)

SASA MASWALI YANGU NI KAMA IFUATAVYO;
1.Ni lini Ghadafi alianza kuwa rafiki wa Tanzania?
2.Ni kipi Ghadafi aliifanyia Tanzania? kiasi kwamba Mh BERNAND MEMBE kapata ujasiri wa kuitangazia DUNIA yale aliyokaririwa akisema kuhusiana na Ghadafi.
3.Mwishowe nataka kufahamu Nyerere angekuwa hai, je angezungumza nini kuhusu kifo cha Ghadafi?

NAWASILISHA WADAU!

Hivi mimi sikumsikia vizuri waziri MEMBE!!!!!! au labada akili yangu iko huru sana kiasi cha kutotawaliwa na ushabiki maandazi wa ninyi wachambuzi uchwara???? go back and replay the interview,, labda mnaweza mkamuelewa nini alichomaanisha(kusudia). lakini hadi sasa, mnachoongelea ni upuuzi tu.
 
Acheni Udini, Hata Watanzania Tulipigana na Uingereza Ktk Vita Kuu ya kwanza ya Dunia lakini mpaka leo ni marafiki. Je Ubalozi Wa Libya ulifunguliwa Jk alipoingia madarakani?


Hata waarabu walituchukua utumwani lakin sasa ni marafiki zetu,

Pili Adui wa babu yako siyo lazima na wewe awe adui yako, ndo maana marekan na uingereza walikuwa maadui sana lakin sasa ni mtu na hawara yake
Tatu Tanzania mmesaidiwa na Gaddafi si tu kwa kujenga miskiti na kutoa magari ya ikulu, lakini pia mmetumia pesa zake kwenye bajeti kupitia bank ya Maendeleo ya Afrika ambako yeye ndio alikuwa mchangiaji mkubwa
Nne, alifungua milango kwa watanzania kwenda kufanya kazi Libya hasa baada ya kuanzisha redio ya Voice of Africa iliyokuwa inatangaza kwa kiswahili na chuo cha kuendeleza kiswahili
Pia amekuwa akifadhili sekta ya elimu nchini na kuipromote
 
Back
Top Bottom