EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Dear Mwali,
Natumai we ni mzima bukheri wa afya. Mimi ni mzima japo napata matatizo ya kulala hasa ninapokuwaza.
Lengo na madhumuni ya ujumbe huu ni kukutakia heri ya pasaka na kutaka kukwaambia kuwa nimefadhaishwa sana baada ya kugundua kuwa umefanya kweli vile ulivyosema utafanya juu yangu. Nimekuwa mdogo kiasi cha kuweza kupita chini ya upenyo wa mlango (nimefanya hivyo leo)
Hata hivyo bado nimo,
Wako katika mchakato
Musimo jr
Natumai we ni mzima bukheri wa afya. Mimi ni mzima japo napata matatizo ya kulala hasa ninapokuwaza.
Lengo na madhumuni ya ujumbe huu ni kukutakia heri ya pasaka na kutaka kukwaambia kuwa nimefadhaishwa sana baada ya kugundua kuwa umefanya kweli vile ulivyosema utafanya juu yangu. Nimekuwa mdogo kiasi cha kuweza kupita chini ya upenyo wa mlango (nimefanya hivyo leo)
Hata hivyo bado nimo,
Wako katika mchakato
Musimo jr