Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Nimezungumza na mke wa Dr Mwakyembe bi Lina Mwakyembe asubuhi hii amesema Mwakyembe hajalishwa wala kupewa sumu isipokuwa ni kweli kuwa anaumwa amepata inflammation kwenye ngozi lakini anaendelea vizuri.Kwahiyo mrusha taarifa kuwa maelishwa sumu na anakimbizwa India kapotosha sijui alikuwa analengo gani!