MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Swala la Eng Chizi bado lina maswali mengi sana lakini kama kawaida ya wanahabari wetu hili ndio limepita! Wakati mwingine nashangaa kwanini hawa wanahabari wanazidiwa na hata wale wa magazeti ya udaku ambao hufatilia stori mpaka hatua ya mwisho kila kona ingawa zinakuwa binafsi sana.
Hivi lini JF itakuwa na gazeti kuleta mapinduzi ya ufukunyuzi wa habari tanzania?
Hivi lini JF itakuwa na gazeti kuleta mapinduzi ya ufukunyuzi wa habari tanzania?