ndisinzowa
Member
- Aug 18, 2010
- 86
- 14
Siku moja baada ya waziri wa uchukuz DR Mwakyembe kutengua uteuzi wa paul chizi imegundulika kuwa aliyemteua kushika wadhifa huo LUSAJO ni binamu yake na mnyakyusa mwenzake.source aliye jikoni
kiongozi! Hujafa hujaumbika,wakati wake umepita ingawa umemuacha na majeruhi,Mungu yu mwema aliye mponya ndio atakaye mrudishia mwili wake salama na wanafiki,maadui wake wote mtabaki na mshangao.
heb mwacheni mzee wa kunyonyoka apige mzigo
Tusilete majungu mapema tuache Mh Mwakyembe afanye kazi yake sasa kama ana sifa na anastaili mulitaka asichaguliwe kisa kabila moja au shemeji?
madudu kuzuia utengenezaji wa ndenge nje ya nchi na kuanza kutengeneze hapa nchini?hebu imagine,kulikuwa na haja gani kutengenezea ndege nje ya nchi wakati inawezekana kufanyia hapa nchini,atcl ilikuwa imekufa atleast baada ya yeye kuteuliwa inaonekana,watu walikuwa wanalipwa bila kufanya kazi.acha kubwatuka,cha maana huyo mwakyembe aseme sababu ya msingi ya kutengua uteuzi wa paul.au aeleze ni sheria na taratibu gani zilikiukwa.tusitee vitu ambavyo vinacist nchi hii.huyu katimuliwa kwa madudu yake..au wewe ulikuwa unaona poa tu..shirika lipo linalipa wafanyakazi mishahara lakini hakuna ndege hata moja inayofanya kazi..madudu makubwa haya..sikatai kaama ukabila upo , ila si katika kiwango cha namna hiyo..jana mwenyewe napita ofisi moja ya serikali watu wanasalimiana kamwene kwenye korido..hali ni mbaya kwenye ofisi za kiserikali
Kosa la Paul Chizi ni nini?