RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,220
- 109,563
Kwamba mteja wake anamtuma kama boss wako anavyokutumq wewe?Kitu ambacho hujui... Hata wewe uliye jiajiri ni mtumwa KWa mteja wako....
Kwamba mteja wake anamtuma kama boss wako anavyokutumq wewe?Kitu ambacho hujui... Hata wewe uliye jiajiri ni mtumwa KWa mteja wako....
Watajenga baadhi ya waliyo jiajiriWote wakiwa na mtazamo huu, unategemea nani akujengee kiwanda cha sukari, magari, sindano rungu n.k
Sawa mkuu, leta maoni yako kuhusu madaHujamuelewa alichosema na hii inatia shaka kubwa kama elimu yako itakusaidia kujiajiri ama kuajiriwa bila kutumwa tumwa
Huu ni ukweli ambao wabinafsi na wachoyo ambao wanabania wenzao kupata AJIRA KWa kivuli cha kuwasagia kunguni wajiari hawataki kuusikiaUkijiajiri utatumwa na clients wako au soko. Tabu ipo pale pale
I'd argue wafanyakazi Wana a balanced life style kuliko waliojiajiri. Hii notion kwamba ajira ni mbaya na kila mtu inabidi ajiajiri as though self-employed wote wamefanikiwa is nonsense.
Tatizo ni nini, elimu au kuna kingine?Population ya waliojiariji ni 2/10 wanaotoboa
Tofauti na watumishi 6/10 wanaotoboa
MTumishi anaoption ya kufanya biashara,kukopa kirahisi huku mfanyabiasha anaoption moja tu biashara na kupata mkopo lazma biashara iwe imara
Japo mfanyabiashara free will yake ni kubwa kuliko mtumishi...
N:B..kuhusu kutake risk bussnesman🙌🙌🙌🙌
Kwahiyo forbes ndo kipimio?Forbes sijaona wakielezea muajiriwa mbobezi
Uhuru wa kweli upo kaburini. Elimu inakupa upana wa ufahamu, kujiongeza. Mtu anaweza hataki kujiajiri.lakini kwenye ajira yake ana fursa za kupiga side hustle za kutosha.Nakubaliana na hoja yako, basi wa namna hiyo, elimu haijamfanya awe huru; bali elimu inamfanya awe wa kutumwa tumwa tu
Nitajie tajiri kuanzia namba 1 mpaka 1000 duniani ambao wameajiriwaKwahiyo forbes ndo kipimio?
Wewe una kiwanda gani?Inaweza kuwa sababu, Je elimu tunayoipata ndio inayotupa uoga?
Mimi nimekuuliza swali mkuu.. forbes ndo kipimio sahihi?Nitajie tajiri kuanzia namba 1 mpaka 1000 duniani ambao wameajiriwa
Wengi waliojiajiri, msukumo si pesa tu, bali kuwa huru wa kutokutumwa tumwa n.kUhuru wa kweli upo kaburini. Elimu inakupa upana wa ufahamu, kujiongeza. Mtu anaweza hataki kujiajiri.lakini kwenye ajira yake ana fursa za kupiga side hustle za kutosha.
Mfano mtu wa kukopesha bank. anaweza akaungana na wanasheria akawa analengesha Dili za kupiga muhuri wa mwanasheria. Form 20 au 10. Akipiga watu 15 kwa siku. Kwa mwezi ana hela nzito kuliko yule ambaye amejiajiri
Nitajie kipimio sahihi ulichonachoMimi nimekuuliza swali mkuu.. forbes ndo kipimio sahihi?
Itategema namna ulivyoipanga timu yakoWatu wanajiajiri kwa kuanzisha kampuni ,lakini pia izo kampuni zinawaajiri , ko mtu unakuta anakuwa mwajiriwa wa kampuni pia , anamiliki kampuni
Kwa sababu YAKO hiyo, manake wateja wako ni watumwa kwako... Kama kijana uliye jiajiri si ndivyo?Wengi waliojiajiri, msukumo si pesa tu, bali kuwa huru wa kutokutumwa tumwa n.k
Elimu biasharaWewe una kiwanda gani?
Ukijiajiri lazima uwe na timu, huwezi kuwa CEO kwenye kampuni yako, alafu wewe ndio ukawa unahudumiaKwa sababu YAKO hiyo, manake wateja wako ni watumwa kwako... Kama kijana uliye jiajiri si ndivyo?