cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
duh, we mutu cheusi una kumbukumbu ni balaa!!!........................jamani Lulu wangu mie!! ...................kwa kweli nitakunywa sumu juu yake!! ..................... aisee, Pearl mzima kabisa, itabidi nimwambie apite hapa asome mwenyewe manake ni long time...................... dah, JF safi sana..................ilinisaidia sana...................... yaani mtoto kama malaika!!.................. watu walipigana vikumbo weeee, mwenye akili zake kichwani nikajinyakulia taaaaarrrttiiiiiiiiib kabisa................ tena bila jasho ...................... teh teh......................
si tuko hapahapa dar bana ....................yale mambo yetu yalikwenda swaaafi kabisa na sasa tunakula bata tu mtoto Lulu................. karibu siku moja bana uone na yale maendeleo mengine ya akina mama teh teh..........................na wewe hongera sana mwaya, naona hapo kwenye avatar kitu kishakuchanganyia......................... mzee anastahili nishani kwa kweli..................... happy new year 2012...................
wo wow wow i see,mpe w´hi sana mshikaji wangu lulu ze pearl,na nyie nawatakia heri ya mwaka mpya,mwambie pearl anavyopotea hivyo siku akirudi hatutampokea tutamsusa.