Mwaka mgumu kwa mafisadi: Wananchi Buzwagi wafunga mgodi wakitaka fidia

mafisadi na wenye mgodi has nothing to loose,losers ni wananchi maana damage has been done already na wale walio sign contracts....dawa ni kuwa vote out hao CCM waliofanikisha hii kitu labda watajifunza lakini kufunga mgodi naona ni wrong target na wataishia kuchapwa tuu na FFU,lakini cha ajabu CCM watashinda hapo Buzwagi kwa kishindo,hao wananchi wana deserve hii hali ya umaskini maana kazi yao ni kutukana wapinzani kuwaona matapeli kumbe wanachangia kuua nchi

Koba,

always pessimistic brother,lakini huoni kuwa tayari wameanza kujifunza?Cha msingi ni kuwaunga mkono ili kukeep that spirit alive mpaka pale muda wa mabadiliko (I suppose 2010) utakawapowadia.Ni kweli unayosema bu that's now history kwani si wa Buzwagi pekee,kilio ni cha wengi kote nchini.Na mafundisho tuliyoyapata ndo hasira hizi.
 
According to MWANANCHI - 22/04/2008

-'Risasi mtindo mmoja Buzwagi'
-'14 wakamatwa'
 
The only way French revolution can happen in Tanzania is if CCM continues to ignore the malaise of the people and to violently surpress them. Mimi binafsi nafikiri ya kuwa muda wa revolution kama hizi zimepita. Angalia Cuban revolution na mapinduzi ya Zanzibar. What happens is that watawala wanatolewa kwa nguvu and they are replaced by new watawala.
The way is actually to do this through the legal system. I am aware of the shortcomings of the legal system of Tanzania, but we have to keep at it. Nakubaliana na hoja ya kuwa 2010, wananchi ni lazima wasimame kidete na kuhakikisha hawanunuliwi na hawaibiwi kura zao. Speak with the ballot box.

Yeah, this is our only hope for now. Lakini uchaguzi wa Kiteto unatoa picha mbaya kidogo. Ni kama vile wananchi are not yet discontended na CCM. Au bado hawahusisha madhira wanayopata na uongozi wa CCM? Au tuseme hawaamini kama wana uwezo wa kuitoa CCM madarakani? Uchaguzi wa Kiteto unaibua maswali mengi zaidi ya majibu!
 
Nina hofu kwamba wanachi wengi ambao ndio wapiga kura hawajui uhusiano wa kura yao na haya yanayotokea kama hili la Buzwagi. Sina hakika kama wanajuwa wana nguvu ya kumwondoa mkoloni huyu mweusi ambaye ni mbaya kuliko yule mkoloni mweupe tuliyemtoa mwaka 1961.

Kazi kwetu kuwaelimisha hawa wananchi ili angalau waamke mwaka 2010.
 
Nina hofu kwamba wanachi wengi ambao ndio wapiga kura hawajui uhusiano wa kura yao na haya yanayotokea kama hili la Buzwagi. Sina hakika kama wanajuwa wana nguvu ya kumwondoa mkoloni huyu mweusi ambaye ni mbaya kuliko yule mkoloni mweupe tuliyemtoa mwaka 1961.

Kazi kwetu kuwaelimisha hawa wananchi ili angalau waamke mwaka 2010.

kweli kabisa......
 
Nina hofu kwamba wanachi wengi ambao ndio wapiga kura hawajui uhusiano wa kura yao na haya yanayotokea kama hili la Buzwagi. Sina hakika kama wanajuwa wana nguvu ya kumwondoa mkoloni huyu mweusi ambaye ni mbaya kuliko yule mkoloni mweupe tuliyemtoa mwaka 1961.

Kazi kwetu kuwaelimisha hawa wananchi ili angalau waamke mwaka 2010.
 
Nina hofu kwamba wanachi wengi ambao ndio wapiga kura hawajui uhusiano wa kura yao na haya yanayotokea kama hili la Buzwagi. Sina hakika kama wanajuwa wana nguvu ya kumwondoa mkoloni huyu mweusi ambaye ni mbaya kuliko yule mkoloni mweupe tuliyemtoa mwaka 1961.

Kazi kwetu kuwaelimisha hawa wananchi ili angalau waamke mwaka 2010.

Jamani jamani
wananchi wa kijijini wanaelimu nzuri tu tena sana ya kubainisha siasa na kuhusisha kila tendo lolote baya na ccm,haya mambo ya kusema eti vijijini hawajui ni Ulegevu wa uelewa
wanakijiji wanachapa siasa nzuri sana kuliko mjini wa mjini ni propaganda tu.

Tuangalie statistics nzuri sehemu walipo wanaojiita wasomi na ambapo kuna vyuo vya elimu ya juu.

ILALA-CCM,ubungo-CCM,kinondoni CCM hapo kuna vyuo UDSM,IFM,DIT,ARDHI,rwegahulila,tasj, yani kibao.

Morogoro CCM CCM vyuo SUA,Mzumbe,Chuo cha waisilamu.

Arusha CCM,CCm vyuoa AIA.

MWANZA CCM CCM vyuo Bugando, st augost university
Dodoma ccm tuuu

Haya kijiji tunakosema tukawaelimishe
Biharamulo-alikua Kabuye Huku hakuna hata high school
Taarime-Chacha-huku kuna chuo cha ualimu grade A
Karatu-DR Slaa sidhani kama kuna chuo zaidi ya vijisekndari
Bariadi-Cheyo huku hakuna high school
Kigoma-Zito hakuna chuo cha elimu ya juu
bukoba-huku jamaa wa CUF walimletea zengwe.
Moshi -kuna mzee pale wa CHADEMA.

Haya basi niambieni wepi wanapashwa kuelimishwa?? mimi nafikiri wanaojiita wasomi na watu wamjini ndio wanapaswa kuelimishwa watu wa vijijini kidogo wameamka.

Tusilete visingizio ambavyo kimantiki havina nafasi.




Haya
 
Jamani jamani
wananchi wa kijijini wanaelimu nzuri tu tena sana ya kubainisha siasa na kuhusisha kila tendo lolote baya na ccm,haya mambo ya kusema eti vijijini hawajui ni Ulegevu wa uelewa
wanakijiji wanachapa siasa nzuri sana kuliko mjini wa mjini ni propaganda tu.

Tuangalie statistics nzuri sehemu walipo wanaojiita wasomi na ambapo kuna vyuo vya elimu ya juu.

ILALA-CCM,ubungo-CCM,kinondoni CCM hapo kuna vyuo UDSM,IFM,DIT,ARDHI,rwegahulila,tasj, yani kibao.

Morogoro CCM CCM vyuo SUA,Mzumbe,Chuo cha waisilamu.

Arusha CCM,CCm vyuoa AIA.

MWANZA CCM CCM vyuo Bugando, st augost university
Dodoma ccm tuuu

Haya kijiji tunakosema tukawaelimishe
Biharamulo-alikua Kabuye Huku hakuna hata high school
Taarime-Chacha-huku kuna chuo cha ualimu grade A
Karatu-DR Slaa sidhani kama kuna chuo zaidi ya vijisekndari
Bariadi-Cheyo huku hakuna high school
Kigoma-Zito hakuna chuo cha elimu ya juu
bukoba-huku jamaa wa CUF walimletea zengwe.
Moshi -kuna mzee pale wa CHADEMA.

Haya basi niambieni wepi wanapashwa kuelimishwa?? mimi nafikiri wanaojiita wasomi na watu wamjini ndio wanapaswa kuelimishwa watu wa vijijini kidogo wameamka.

Tusilete visingizio ambavyo kimantiki havina nafasi.


Haya

Hii analysis yako ni kali sana mkuu. Huko ndiko mzee FMES anakuita kumkoma nyani hasa!
 
Mkuu hii ndiyo Tanzania, raia wanapigwa sana ila siku ya kupiga kura ccm wanashinda kwa kishindo, hebu hii inawezekana au kuna kamchezo kanafanyika? Tujiulize inakuwaje? Lakini hapana mbona kule Mkoani Mara (TARIME) walipigwa lakini siku ya uchaguzi hawakufanya kosa wakamchagua Chacha Wangwe kwa asilimia 80%,hata hivyo haitoshi yule mwekezani kule North Mara anajua yanayomkuta, na siku wakiamua ndiyo byebye, Tunaamini watanzania wameanza kuamka, Mungu tusaidie ili tupate mabadiliko halisi
 
Pale ni Home; sehemu mhimu zimeharibiwa; siku za uchaguzi huletewa vitenge, khanga, kofia, tshirt, sukari, chumvi, unga na sherehe za hapa na pale kuwarubuni; tuwaleleze madhara ya hivyo vitu wajue sasa wanalipia (nilishawaambia waliniona mchawi) Nashauri tuwaunge mkono maana elimu ndio tatizo ila sasa wameamka; JK-TZ sio Zimbabwe;kumbuka Wasia wa baba wa TAIFA, usitumie dola kwa wanaodai haki zao; waache wachukue kilicho chao- Zitto/Slaa/Mama Malechela (sio malechela ni mama) hujaenda kuwapa pole? Why? pls Go there; watu wetu wale jamani wataumia
 
Hii analysis yako ni kali sana mkuu. Huko ndiko mzee FMES anakuita kumkoma nyani hasa!

Unajua kaka ndio kale kamsemo kana kuja wewe waonaje kijiti kilicho ndani ya jicho la mwezako unaacha boriti iliyo ndani ya jicho lako.

Watu wasomi na wamjini ndio wanawaangusha wenzao wa vijijini hawa ndio siku zote wanachagua CCM ,harafu kwa vile wao wana akisesii na media eti bila aibu wanasema wakawaelimishe watu wa vijijini.

Mwl Angalia ktk statistics uone ktk historia ya vyama vingi Dar nafikiri ni mara moja tu wameweka mpinzani Mrema

Mara nyingi kama si mara zote wapinzani wanatokea ktk majimbo wilayani na vijijini.
 
tangu walichofanya kule kiteto sina hamu kabisa na hawa wananchi,na popularity na kazi yote ile aliyoifanya Slaa kule bungeni kipindi hicho hicho cha uchaguzi lakini haikusaidia hata kidogo...najua lugha ya waache wafe njaa ni extreme lakini ukweli njaa ikiwapiga vya kutosha wataamka wenyewe!
 
hivi kumbe na majimbo yote ya Dar ni mali ya CCM na wanaowachagua ni hao hao wanaopiga kelele za ufisadi 24/7....acheni nature ifanye kazi yake(wapigike vya kutosha) labda watachoka maana sasa hata mkisema chochote mtaonekana wendawazimu tuu kama mrema,wanasingizia vijijini kumbe kuanzia chuo kikuu ndio cheer leader no 1 na wa ughaibuni kula kukicha ni matawi mapya tuu ya ufisadi.
 
hivi kumbe na majimbo yote ya Dar ni mali ya CCM na wanaowachagua ni hao hao wanaopiga kelele za ufisadi 24/7....acheni nature ifanye kazi yake(wapigike vya kutosha) labda watachoka maana sasa hata mkisema chochote mtaonekana wendawazimu tuu kama mrema,wanasingizia vijijini kumbe kuanzia chuo kikuu ndio cheer leader no 1 na wa ughaibuni kula kukicha ni matawi mapya tuu ya ufisadi.

Kaka
nakuambia hivi majimbo yote ya mjini ni CCM ukiacha la Ndesaburo moshi.
Tena kama Dar wala usiseme CCM tupu.wewe si unaona udsm wanapiga kelele ikija uchaguzi utaona jinsi CCM inapita kwa kishindo huko kinondoni
 
Hivi Buzwagi ni ya fisadi yupi? ni mtanzania gani aliewaleta hawa kwa jeuri ya kifisadi?
Au haturuhusiwa kumjua?
 
Kwa hili jambo wananchi wa Buzwagi wana haki zote za kufanya hayo wanayofanya kama hawajalipwa fidia ama kama hawaoni faida wanayoipata tokana na mgodi huo.
Fidia ya nini? Tuache uzembe wa kukubali kubali vijisenti halafu tunawaachia wakichota matrilioni kutoka kwenye ardhi zetu. Wananchi wamilikishwe migodi kwa ubia. Wawekezaji wana zana za kuchimba madini, wananchi wana ardhi yenye madini. Hapo ng
 
Hii ni chain effect, na bado tutaendelea kusikia fisadi mmoja hadi mwingine anajiuzulu. Moto ni ule ule wembe ni ule ule. Kwa wale wenye habari za kina kuhsu fisadi yeyote, wamtaje tuanze kumchambua humu humu hadi ajiuzulu. Tulipomsema Chenge na haya yamemtokea, nadhani turudi kwa Sitta tena tupewe habari za uhakika zaidi.

Kitila nilipata email ikiniambia kuwa umewekwa chini ya ulinzi, ya kweli haya au ni ubabaishaji ya wanaCCM kutaka kubadilisha hali ya hewa. Ninadhani umzima maana ninaona unachangia hapa bila wasiwasi.
 
Kwa hili jambo wananchi wa Buzwagi wana haki zote za kufanya hayo wanayofanya kama hawajalipwa fidia ama kama hawaoni faida wanayoipata tokana na mgodi huo.
Fidia ya nini? Tuache uzembe wa kukubali kubali vijisenti halafu tunawaachia wakichota matrilioni kutoka kwenye ardhi zetu. Wananchi wamilikishwe migodi kwa ubia. Wawekezaji wana zana za kuchimba madini, wananchi wana ardhi yenye madini. Hapo ng
 
Back
Top Bottom