Nilikua nayatazama maafari ya chuo kikuu dsm,mara nikasikia wahitimu wanahojiwa na mtangazaji kuhusu hisia za muhitimu katika maafari hayo,cha kushangaza akakimbilia kusema nanukuu "yani nimefurahi sana maana nina cheti cha chuo kikongwe nitaweza kuombea kazi sehemu yeyote".
Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.
Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.