Mwaka huu mlimani imetoa graduates tegemezi.

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Nilikua nayatazama maafari ya chuo kikuu dsm,mara nikasikia wahitimu wanahojiwa na mtangazaji kuhusu hisia za muhitimu katika maafari hayo,cha kushangaza akakimbilia kusema nanukuu "yani nimefurahi sana maana nina cheti cha chuo kikongwe nitaweza kuombea kazi sehemu yeyote".

Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.
 
Nilikua nayatazama maafari ya chuo kikuu dsm,mara nikasikia wahitimu wanahojiwa na mtangazaji kuhusu hisia za muhitimu katika maafari hayo,cha kushangaza akakimbilia kusema nanukuu "yani nimefurahi sana maana nina cheti cha chuo kikongwe nitaweza kuombea kazi sehemu yeyote".

Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.

ulimi ulimteleza.
 
sio swala la kujipanga mambo ndio yalivyo,kama huamini subiri uone idadi kubwa ya vibahasha vya kaki maofisini vikiletwa na wahitimu.

kwa hiyo wahitimu kupeleka bahasha za kaki maofisin kwako ni tatizo? Kujadili matokeo kamwe hakuwezi kutusaidia.
 
Nilikua nayatazama maafari ya chuo kikuu dsm,mara nikasikia wahitimu wanahojiwa na mtangazaji kuhusu hisia za muhitimu katika maafari hayo,cha kushangaza akakimbilia kusema nanukuu "yani nimefurahi sana maana nina cheti cha chuo kikongwe nitaweza kuombea kazi sehemu yeyote".

Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.

ni mwaka gani haikutoa wahitimu tegemezi.
 
Nilikua nayatazama maafari ya chuo kikuu dsm,mara nikasikia wahitimu wanahojiwa na mtangazaji kuhusu hisia za muhitimu katika maafari hayo,cha kushangaza akakimbilia kusema nanukuu "yani nimefurahi sana maana nina cheti cha chuo kikongwe nitaweza kuombea kazi sehemu yeyote".

Hivi ndio hawa wahitimu chuo cha udsm miaka hiyo ilikua ikiwatoa? Maana kama ndio basi bora lile eneo lote la mlimani walifanye kivutio cha histora na wasitishe kutoa elimu.Kama sio sasa wahitimu wa namna hii wanatokea wapi? Huwezi kukurupukia mambo ya kuajiriwa katika maafari kama yale au inaashilia wamepewa elimu ya kuajiriwa tu? YOU NEED TO BE A JOB CREATOR AND NOT A JOB SEEKER.

Uko sawa 100% watu wengi wanasoma ili wapate vyeti na si elimu,ndio maana huku mitaani kumekuwa na msongamano wa majobless wengi,wanazunguka tu na vyeti mchana kutwa wakitafuta kazi,hawana fikra za kujinasua walipo kwa kuitumia elimu walioisotea miaka kadhaa,hawa watu ni janga la kitaifa.
 
Kuajiriwa ni utumwa, yeyote anayesoma ili akaajiriwe huyo ni limbukeni.
 
Uko sawa 100% watu wengi wanasoma ili wapate vyeti na si elimu,ndio maana huku mitaani kumekuwa na msongamano wa majobless wengi,wanazunguka tu na vyeti mchana kutwa wakitafuta kazi,hawana fikra za kujinasua walipo kwa kuitumia elimu walioisotea miaka kadhaa,hawa watu ni janga la kitaifa.

mda tuliobaki nao watanzania ni mdogo mno na haututoshi kuendelea kulaumu serikali chini ya wizara ya kazi juu ya utendaji wake wa kivivu na usio na nia mathubuti katika kupunguza janga hili la uhaba wa ajira,Ni jukumu letu wasomi kuandaa mipango ya kujikomboa kwa kutumia elimu tuliyoipata hata kwa kuanzisha miradi midogo midogo mijini na hata vijijini,kwa namna hii hizi kelele za ajira zitapungua kwa kiasi fulani.Kuna baadhi yetu hatuamini katika ujasiliamali lakini inawezekana.
 
Endeleeni kupoteza muda wenu katika kukiponda chuo cha udsm.

acha kuwa mjinga wewe,kwani udsm ni mali ya wanafunzi au hao unaowaona hapo wanaowapa supplementary? Hicho ni chuo cha walipa kodi nikimaanisha cha jamii,wewe mwonyewe jifanye umelizika na hiyo mitaala ya kizamani mnayo fundishiwa hapo,mimi nna wadogo zangu waliofanya mistake ya kukiweka cha kwanza na wamepelekwa ila wanajuta sasa.

Rai yangu ni kwamba watu binafsi waanzishe vyuo kwa wingi ili walikomboe taifa kwa kuzalisha wahitimu wabishi wasiojua hata taaluma zao zinawataka wafanye nini.WHEN COMES TO EDUCATION BE WILLING TO PAY ANY COST TO GET IT WELL.
 
acha kuwa mjinga wewe,kwani udsm ni mali ya wanafunzi au hao unaowaona hapo wanaowapa supplementary? Hicho ni chuo cha walipa kodi nikimaanisha cha jamii,wewe mwonyewe jifanye umelizika na hiyo mitaala ya kizamani mnayo fundishiwa hapo,mimi nna wadogo zangu waliofanya mistake ya kukiweka cha kwanza na wamepelekwa ila wanajuta sasa.

Rai yangu ni kwamba watu binafsi waanzishe vyuo kwa wingi ili walikomboe taifa kwa kuzalisha wahitimu wabishi wasiojua hata taaluma zao zinawataka wafanye nini.WHEN COMES TO EDUCATION BE WILLING TO PAY ANY COST TO GET IT WELL.

mjinga ni wewe ambaye unafikiri bado tunatumia mtaala wa zamani, mwaka huu umetolewa mtaala mpya katika kila sector, na upo tofauti kabisa na mitaala ya awali.... Tafadhali ukiwa unasema kitu,inabidi uwe na uhakika.

Halafu nani amekuuliza kama ni chuo cha wananchi? Nadhani hukujua kwanini nilisema vile.
Rai yangu ni kwamba watu binafsi waanzishe vyuo kwa wingi ili walikomboe taifa kwa kuzalisha wahitimu wabishi wasiojua hata taaluma zao zinawataka wafanye nini.WHEN COMES TO EDUCATION BE WILLING TO PAY ANY COST TO GET IT WELL.
hapa ndio nimeona umeongea la maana.
 
Well said,UDSM ya kugawa PHD hata kwa vilaza,haitatufikisha popote,miaka 50 chuo hakina hata kakiwanda kadogo ka uzalishaji kama sehemu ya mafunzo,aibu ni matokeo ya Ma VC siasa wanatumia mda mwingi kujipendekeza kwa waliowaweka kuliko kuangalia mambo ya kitaaluma na kitaalamu

acha kuwa mjinga wewe,kwani udsm ni mali ya wanafunzi au hao unaowaona hapo wanaowapa supplementary? Hicho ni chuo cha walipa kodi nikimaanisha cha jamii,wewe mwonyewe jifanye umelizika na hiyo mitaala ya kizamani mnayo fundishiwa hapo,mimi nna wadogo zangu waliofanya mistake ya kukiweka cha kwanza na wamepelekwa ila wanajuta sasa.

Rai yangu ni kwamba watu binafsi waanzishe vyuo kwa wingi ili walikomboe taifa kwa kuzalisha wahitimu wabishi wasiojua hata taaluma zao zinawataka wafanye nini.WHEN COMES TO EDUCATION BE WILLING TO PAY ANY COST TO GET IT WELL.
 
Back
Top Bottom