beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 6
hiyo mibangi mnayoo vuta ni stimu za kulanduka kama siyoo fani yako kwa kweli utaumbukaaa....isome kama unaimba
imba kwa sauti ya kishairi. Mwingine alikuwa anaenda kuoga baada ya kuvuta bangi, akakuta njiti za kiberiti akaomba msaada asaidiwe kunyanyua ndoo kuna magogo kwenye maji. Bange bana!