Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Foleni kuubwa sana nipo Namanga nusu saa haisogei...
Makazini hamna watu, ofisi zote zimehamishiwa nyumba za wageni
Kijitonyama ni mvua ndogo tu aambayo haina mikwara yoyote ndani yake. Ingenyesha katikati ya mechi, basi ingeleta burudani sana
Niko Boko huku. Sijawahi kuona mvua kama hii. Hamna kwenda kazini, watoto hamna kwenda shule mpaka kieleweke.
Wajameni
Eneo ninaloishi mimi hapa Dar, kuna mvua kubwa balaa iliyoambatana na upepo mkali wa hatari inayonyesha sasa, siwezi kutoka kwenda kazini na watoto nimewazuia wasiende shule!.
Vipi upande wa eneo lako mvua hii imefika au ni kwa baadhi ya maeneo tuu?!.
Tangu saa 12 na nusu bado sijafika mjini yaani... Foleni haisogei bado sijavuka Selander... nadhani nitaingia saa nne...
Hope mvua ya sasa haitoleta kash kash tena..
huwa sielewi...connection ya mvua na foleni dar!
pia mimi hili jambo hunichangana! Subject nzuri ya utafati for highway engineers.
huwa sielewi...connection ya mvua na foleni dar!
Sikai mabondeni ila ninapokaa hakuna tofauti sana na wa mabondeni. Watoto ndio hawajakwenda shule.Pasco unakaa mabondeni ?
Umeweza kwenda job?
1. Dreva hua hawezi kuona mbali kwa % za kawaida ambapo hakuna mvua .
2. Windscreen humidity , huchangia pia uonekano mbele usiwe mzuri.
Na kuwafanya waendeshe slow