mwambyetete
Senior Member
- May 17, 2018
- 126
- 196
Habari wapendwa,,nakumbuka niliwahi kuona uzi humu jamaa alipost juu ya kuuza spear za magar ambapo watu walikuwa wakimuuliza maswali na anawajibu vizur kwa kuwatajia bei ya spear wanazozitaka
Nimejaribu kuutafuta huo uzi sijauona,,tafadhali kama kuna mtu anaukumbuka au ana mawasiliano na huyo mtu nahitaji msaada wake plz wapendwa
Nimejaribu kuutafuta huo uzi sijauona,,tafadhali kama kuna mtu anaukumbuka au ana mawasiliano na huyo mtu nahitaji msaada wake plz wapendwa