Muuza Madafu: Mimi sio mtu Mwanajeshi. Natamani kuonana na Kamanda nayefananishwa naye

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,836
4,587

Baada ya maswali kuwa mengi juu ya msemo wake maarufu “ukija bila gadi nagawa kwa idadi ya wastani” , kijana muuza madafu ameweka wazi kuwa ule ni msemo tu na haina maana kuwa yeye ni mtu wa ndani.

Kijana muuza madafu ameujulisha umma kuwa yupo tayari kukutana na afisa usalama ambaye anafaninishwa nae lengo ni kuuaminisha umma wa watanzania kuwa wao ni watu wawili tofauti.

PIA SOMA
- Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

- Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!
 

Baada ya maswali kuwa mengi juu ya msemo wake maarufu “ukija bila gadi nagawa kwa idadi ya wastani” , kijana muuza madafu ameweka wazi kuwa ule ni msemo tu na haina maana kuwa yeye ni mtu wa ndani.

Kijana muuza madafu ameujulisha umma kuwa yupo tayari kukutana na afisa usalama ambaye anafaninishwa nae lengo ni kuuaminisha umma wa watanzania kuwa wao ni watu wawili tofauti.

PIA SOMA
- Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

- Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!
Plausible deniability.
 
Tenda ya roboti lake imekamilika tayari. Jamaa atakutana na roboti lake lenye makosa kiasi mithiri ya sanamu ya Nyerere mbele ya kamera mchezo unaisha
 
Hivi mnajua deni taifa ni shing ngapi!?? Endeleeni kuwa twisted! Kujadilib ujinga
 
Back
Top Bottom