Muungano ni kati ya nchi ya Tanganyika na Zanzibar, kama Zanzibar ipo Tanganyika ipo wapi?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Mwaka 1964 nchi ya Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar na kuzaa nchi ya Tanzania.

Nilitarajia muungano ule ungezifuta nchi zote mbili yaani nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika ili kuwe na nchi moja tu ya Tanzania. Kinachoshangaza kwa muungano huu ni uwepo wa nchi ya Zanzibar na kutoweka kwa nchi ya Tanganyika.

Je kwanini nchi ya Tanganyika itoweke na nchi ya Zanzibar iwepo?

Kwanini nchi ya tanzania iwe kwenye ardhi ya nchi ya Tanganyika bila kuijumlisha ardhi ya nchi ya Zanzibar wakati udongo wa Tanganyika na Zanzibar ulichanganywa?

Au huu muungano ulikuwa wa kubadili jina la Tanganyika na kuwa tanzania maana jina la zanzibar lipo?

Nauliza tena, Nchi ya tanganyika ipo wapi?

21ac0b657ea603b67fede1785617e0d5.jpg
 
Wazanzibar ndo wanatutawala sisi hatuna uwezo wa kuwatawala,huu ni muungano wa hovyo kuwahi kutokea duniani
Na wala hatuna uwezo wa kujitawala. Bora wao kukiwa na Rais wa Tanzania kutoka bara,still Zanzibar wanajitawala.Inauma eti hatuna haki ya kufanya kazi hospital za Zenj za Serikali na Taasisi zozote zile za Serikali ya Zenj ila wao haki wanayo.#Tanganyikaexit
 
Na wala hatuna uwezo wa kujitawala. Bora wao kukiwa na Rais wa Tanzania kutoka bara,still Zanzibar wanajitawala.Inauma eti hatuna haki ya kufanya kazi hospital za Zenj za Serikali na Taasisi zozote zile za Serikali ya Zenj ila wao haki wanayo.#Tanganyikaexit
Na hiki ndicho Wazanzibari wanakipenda kwenye huu muungano. Wanufaike zaidi kuliko Watanganyika. Very selfish people.
 
Mwaka 1964 nchi ya Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar na kuzaa nchi ya Tanzania.

Nilitarajia muungano ule ungezifuta nchi zote mbili yaani nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika ili kuwe na nchi moja tu ya Tanzania. Kinachoshangaza kwa muungano huu ni uwepo wa nchi ya Zanzibar na kutoweka kwa nchi ya Tanganyika.

Je kwanini nchi ya Tanganyika itoweke na nchi ya Zanzibar iwepo?

Kwanini nchi ya tanzania iwe kwenye ardhi ya nchi ya Tanganyika bila kuijumlisha ardhi ya nchi ya Zanzibar wakati udongo wa Tanganyika na Zanzibar ulichanganywa?

Au huu muungano ulikuwa wa kubadili jina la Tanganyika na kuwa tanzania maana jina la zanzibar lipo?

Nauliza tena, Nchi ya tanganyika ipo wapi?

View attachment 2689623
Tanganyika ipo lakini wameivalisha koti hilo koti alovishwa Tanganyika linaitwa muungano kwa hiyo Tanganyika ndio Muungano
 
Back
Top Bottom