Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Ndugu Waberoya,
Wenye akili kama wewe humu ndani, katika dakika chache ulizo-panic nazo hapo juu - wengine tumeng'amua kile ambacho hakika usingependa kijulikane kwa wapambanaji nchini. Nasema tumekuelewa zaidi ya hata kama ungalitumia maneno 1,000 na zaidi kujieleza. Lakini usijali katiba ya wananchi iko njiani itapatikana na wajuku zako pia wataifurahia sana.
Kwa sasa niko bize kidogo, niko kwenye suala zito la Katiba Mpya ambayo kwako kumbe si kitu kabisa, hivyo nitakujibu ipasavyo kwa wakati mwingine kwa hilo la kuuliza kama utakua umetegwa kitu. A green snake in the grass!!!
Wenye akili kama wewe humu ndani, katika dakika chache ulizo-panic nazo hapo juu - wengine tumeng'amua kile ambacho hakika usingependa kijulikane kwa wapambanaji nchini. Nasema tumekuelewa zaidi ya hata kama ungalitumia maneno 1,000 na zaidi kujieleza. Lakini usijali katiba ya wananchi iko njiani itapatikana na wajuku zako pia wataifurahia sana.
Kwa sasa niko bize kidogo, niko kwenye suala zito la Katiba Mpya ambayo kwako kumbe si kitu kabisa, hivyo nitakujibu ipasavyo kwa wakati mwingine kwa hilo la kuuliza kama utakua umetegwa kitu. A green snake in the grass!!!
You are right! wananchi ndio wa kulaumiwa mno.. we are slumbering
Habari gani kamili ya mimi kukupa wewe? kuwa muswada umebeba maoni ya watu ni lini yamechukuliwa? unanitega?
Nikisoma tu post yako naona ni walewale...jambo zito kuliko yote?.. hilo zito kwako kaka!! watanzania wengi hawana hata mpango na hiyo katiba..Guys tunaposema kazi ipo na tuamshane na sio kupena moyo I know I have see that we have big problem!!
eti? unasema na unaamini kabisa Makinda ataenda kinyume na CCM na serikali yake?? you must be dreaming! kama unasubiri Anna abadilike na CCM ibadilike pole sana..pole we!! at a glance, nothing good comes out of CCM nothing!