kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
haa haaa haaaa!! Aisee! Kweli pesa kiboko...
Kuliko posho mnazopewa na Nape.
haa haaa haaaa!! Aisee! Kweli pesa kiboko...
Afya ya huyo anaeanguka majukwaani!!!!!! Kisa eti kafunga ramadhani kwani analazimishwa wakati ni mgonjwaKumbe bado Dr Slaa hajapona vizuri? Nimemuona leo nikamuonea huruma sana.Nafikir huu ni muda muafaka kwake kushughulikia afya yake ili aweze kurud kwenye hali yake ya kawaida. Bado ana mchango mkubwa kwa chama chake na CDM ni chama chenye uwezo wa kumsaidia. Tusihangaikie tu pesa za Sabodo na maandamano. Tukumbuke pia afya zetu
Mkombozi wa wanyonge.Mcha Mungu na Muislam safi Mustafa Sabodo.
Unaonaje afya ya amiri jeshi wetu umempa ushauri gani..Tatizo ni kwamba hawa ndugu zetu hawataki kusikia wala kuambiwa. Tujitahidi kuwashauri taratibu taratibu. Hope watajagundua baadaye kuwa tulichowaambia ni cha muhimu kuhusu afya ya huyu mtendaji wao mkuu.
Kwa hiyo na wewe unategemea nafasi ya uwaziri?kwa nini tusiwaachie ccm waendelee kutawala
Kumbe bado Dr Slaa hajapona vizuri? Nimemuona leo nikamuonea huruma sana.Nafikir huu ni muda muafaka kwake kushughulikia afya yake ili aweze kurud kwenye hali yake ya kawaida. Bado ana mchango mkubwa kwa chama chake na CDM ni chama chenye uwezo wa kumsaidia. Tusihangaikie tu pesa za Sabodo na maandamano. Tukumbuke pia afya zetu
Masaburi yako ndio yatakusamehe Pambaf !!!!!!Josephine,
Nimetoa comment kutokana na nilivyomuona. Kuna watu wengi sana wanajiuliza kuhusu hali yake but wanashindwa kuquestion cuz itakuwa ni kama, nashindwa hata kuandika. Kama nimekosea utanisamehe.
Kumbe bado Sabodo ni kada wa ccm?
Nyamaza wee mla makombo.Mustafa Sabodo atawamaliza mwaka huu
Wee, hawawezi jaribu kabisa kutenda hiyo dhambi!!
Hakuna Pro-Chadema JF ambaye anaweza kuzitaja biashara za Mustafa Sabodo zaidi ya kupokea pesa.
Hiyo nguvu ya kutoa maneno machafu kama hayo unapata wapi?nyie mtaharibu chama'dr slaa anajitahidi kuweka misingi mizuri lakini hajui amezungukwa na wanyag'anyi
rejao bwana..!we cjui ni cuf au ccm..huwa ckuelewi bt iko hivi.. cdm haiwezi pokea pesa bila kujua chanzo cha mtoaji..kwa ufupi sabodo ni mmoja wa waagizaji wakubwa wa meli za mafuta hapa nchini..hii ni mojawapo ya bizness zake..
Wee, hawawezi jaribu kabisa kutenda hiyo dhambi!!
mzee anatafuta umaarufu wa uzeeni huyu
kama umemwona leo na alikuwa ktk M4C kabla alikuwa ARUMERU mbona safi tu? mbona hata wewe mgonjwa mbona bado unauwezo hata kuandika huu uchafu?Kumbe bado Dr Slaa hajapona vizuri? Nimemuona leo nikamuonea huruma sana.Nafikir huu ni muda muafaka kwake kushughulikia afya yake ili aweze kurud kwenye hali yake ya kawaida. Bado ana mchango mkubwa kwa chama chake na CDM ni chama chenye uwezo wa kumsaidia. Tusihangaikie tu pesa za Sabodo na maandamano. Tukumbuke pia afya zetu