Kada wa CCM Mustafa Sabodo ametinga katika kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA na kuahidi kuendelea kukisaidia chama hicho mpaka mwisho. Sabodo ameahidi kusaidia ujenzi wa makao makuu ya chama.
Sabodo amekishukuru CDM kwa heshima kubwa anayopewa ambayo amesema hakuwahi kuipata ndani ya chama chake cha CCM. Sabodo amewapongeza viongozi wakuu wa CHADEMA kwa kazi kubwa wanayofanya kutetea wananchi hususan Katibu Mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.
Source: Habari Clouds TV
Sabodo amekishukuru CDM kwa heshima kubwa anayopewa ambayo amesema hakuwahi kuipata ndani ya chama chake cha CCM. Sabodo amewapongeza viongozi wakuu wa CHADEMA kwa kazi kubwa wanayofanya kutetea wananchi hususan Katibu Mkuu wa chama hicho Dr Wilbrod Slaa.
Source: Habari Clouds TV