mimi si muumini wa magamba, natoa angalizo. Wasi wasi wangu ni namna ambavyo matajiri na mabepari wanaweza kujaribu kuitumia hii nafasi walionayo chadema, kwani wanaona dalili za chadema kukamata dola, hivyo watajaribu kujiwekea mazingira mazuri ya kuikamata serikali.
Kiukweli kila mtu nchi hii anajua mageuzi ya kisiasa yanayotokea nchi hii kwa sasa hivi. Wanyabiashara duniani kote hujaribu kujiweka karibu zaidi na serikali na chama chake ili kupata nafuu fulani fulani, fuatilia uingereza kwa cameroon, kwa mfano tu. Mabepari ni wajanja sana, huja katika sura nzuri sana
kama ungetaka kutoa angalizo usinge mtaja mtu but hilo lako ni angalizo la kinafki....heri sabodo anatoa kwa hiari na nyie mnavo waibia wananchi...