Safiri salama mdogo wangu
tena huyo huyo Mwita Maranya ndo umtafute.....anapatikana huko huko hata mimi nilipokwenda....alinitembeza sana na alinikaribisha kwake nikala ugali wa udaga na kimolo....
unaona sasa....thanks Preta...huku geita kuna mtu kanikimbia live yani!...duh!..ivi namba yake ndo ile inaishia na 17 sio.?
asante bruh...nimechoka mpaka mkia...tan taraaaaa!
Jamani mbona hamtaki kuja mpwapwa nyie?
alafu tukija shem?
teh teh mbona wewe huendi maeneo yao?, afu kuna NGO's huko?
Mwache ajue maeneo.....mi huko nilishapuyanga sana sina hata hamuMpaka sio vizuri, atakuwa kachoka jamaa yangu...
We acha uvivu....asante bruh...nimechoka mpaka mkia...tan taraaaaa!
We acha uvivu....
Mi niliwahi umia hivyo kwa miezi kadhaa na kila baada ya siku 2 nasafiri kuhama mkoa....nilikoma...sasa wewe hapo tu?
Je km ungekuwa unatoka Mpanda unaenda Kigoma ingekuwaje?