Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

Unakuta mtu CoET ana A zote lkn ukimchallange tu hamna kitu wale ni political engineers ingawa nami nipo pale. Formal education ya udsm inaua engineering curiousity yangu aseeh

Rockwell Automotion Company
Basi Coet mnashda aiseee...kwann mnaenda kusoma engineering Kwa sifa.... Jamani wakat kila tenda Naona wamepewa wachina...ushaur bora msome fakat zngne tuuuu kama education etc...
 
Mmmh nijuavyo mimi chuo chochote hakikosi mtu anayetoka shallow. Wapo wanaokua na GPA kubwa lakini implementation sifuri. So regardless umesoma chuo gani juhudi zako binafsi ndio maisha yako.


Mrs Van
Ww umenene vizuri sanaa
 
Mimi nimesoma UDSM Nina mpango Wa kufungua kampuni yangu Ila nitaajiri vijana Wa DIT au TIA

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wale wale wa makorokocho University.

Mkija hapa mnaandika uharo.
Kama hukubahatika kusoma UDSM basi isiwe bifu mkuu.
Hivi wewe unaweza linganisha UDSM na hivyo vyuo vyenu vya Teofilo Kisanji?

Kama hukusoma UDSM jitahidi ukamtembelee hata ndugu yako, kama uliwahi kuona hata foreigners wanakuja kusoma huko Teofilo Kisanji basi unaweza kuandika upuuzi tena

Nothing is easier than blaming others for your own problems
 
Hapa naona wengi ni wafia vyuo. Mtu anapo apply anataka kuchukua program (course) fulani na ana ufaulu fulani. Kuna masomo UDSM inaweza ikawa juu na pia kuna masomo vyuo vingine vinaweza kuwa juu. Kwa hiyo issue ya rank ya chuo hata kama ni kweli inakuja pale tu unapo linganisha programs. Havard inaweza kuwa namba 1 lakini kuna masomo inapitwa na vyuo vingine. Malumbano yanayoendelea hapa sidhani kama yanawasaidia sana waombaji-NI SWAGA ZAIDI YA SUBSTANCE. Kwa wenzetu hutoa ranking ya programs siyo za vyuo tu.
 
Natanguliza shukurani nyingi,

Nimefanikiwa kupata division 2 ya point 11 ya masomo ya sanaa ninaomba ushauri kwenu wakuu kama ninaweza kusoma kozi ya INFORMATION TECHNOLOGY na ni chuo gani kizuri kwa hiyo course

Lakini pia nina ndoto ya kusoma law pale udsm sijui kwa ufaulu huo kama naweza kupokelewa?
Nawakilisha
Chuo huwa wana angalia umepata pointi ngapi za TCU na sio division na point ngapi za NECTA. Hivyo ukitaka ushauri mzuri weka combi uliofanya na kila somo umepata grade gani (A, B, ...F). Ukifanya hivyo utapata ushauri mzuri zaidi.
 
mmmh hapo msala huo! labda asubiri aombe diploma mwakani!
Sema hizi comb za science wengi huwa hawashtuki mapema ila wale wajanja akiona mpaka anaingia six Hakuna matumaini ya kufanya fresh anatoa alert home waendelee kumuombe diploma kutumia cheti cha form four!
Naada ya paper mambo yakitoka vizuri analiunga bachelor, yakiharibika anaunga diploma
So hapo atumie Olevel certificate c ndiyo?!
 
Vipi uwanja wa ajira kwa hiyo course ya Environmental health,mdogo wangu ana Divsion 2,ya point 10,yaani CCD...vipi hapo!

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa apo anapata
Hiyo course mtu anaanza kula mema ya nchi akisoma masters
 
vp kwa mtu mwenye div 2 anaweza kupapa moja kat ya hiz koz?

Haematology and Blood Transfusion
Parasitology and Medical Entomology
Clinical Chemistry
Histotechnology
Ungeandika alama ya somo moja moja
 
Back
Top Bottom