Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

Asikudanganye mtu, chuo ni wewe mwenyewe na jitihada zako.

Am proud to be a UDSM alumnus

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Asikudanganye mtu, chuo ni wewe mwenyewe na jitihada zako.

Am proud to be a UDSM alumnus

Post sent using JamiiForums mobile app
umeonaeeeeee................ kuna wanaoingia chuoni kwa ponti kuubwaaa ila wanagraduate kwa GPA 2.0
ila walioingia kwa point za manati wanakomaaaa hatari na kuchomoka na GPA nzuuriii
 
umeonaeeeeee................ kuna wanaoingia chuoni kwa ponti kuubwaaa ila wanagraduate kwa GPA 2.0
ila walioingia kwa point za manati wanakomaaaa hatari na kuchomoka na GPA nzuuriii
Kweli kabisa mkuu. Na mimi ni shahidi kwa hilo aisee

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ulishasoma na A level na mtu mwenye credit 3 tu anakomaaaaaaa mpaka maadishi yapandee kuashiria movie imeisha
 
Unakuta mtu CoET ana A zote lkn ukimchallange tu hamna kitu wale ni political engineers ingawa nami nipo pale. Formal education ya udsm inaua engineering curiousity yangu aseeh

Rockwell Automotion Company
Itakua unasoma textile Engineering bila shaka
 
Kizazi hiki sijui kikoje, kuna threads kibao zimeanzishwa kila moja ikikinanga chuo flan kuwa sio kizuri, hiki kizazi legelege, kizazi cha madesa ya Nyambali, kizazi cha kusolve maswali na kukariri majibu, kizazi cha kusolve past papers bila kuelewa content kazi yao ni kulalamika kila siku, mnataka mkasome vyuo gani? Au mmesoma vyuo vingapi mpaka mnacompare? Kazi kulalamika tu kwenye mitandao na mngesoma enzi zile bila simu wala internet mngelalamika wapi? Mnachagua na kuponda vyuo utafikiri mlivijenga!! Nafikiri ipendekezwe umri wa kuanza shule uongezwe ili watu wafike chuoni wakiwa na utambuzi, vijana wa vyuo wako kama wa sekondari hata kuvaa hawajui kazi kulalamika tu kwenye mitandao, kaza msuli piga kazi tatua matatizo yanayowakabili kiutuuzima
Mkuu popote ulipo agiza faru john ntalipa.umefoka kuntu sana.
 
On my side "Akasomee *Teaching* japo ajira adimu lakini anaweza kwenda hata shule za *Private* kufundisha ama la atajiajili kwa *Tuition* kedekede baadae ajira zitafunguka."
 
Wakuu naomba kujuzwa vyuo vinavyotoa BSc. Microbiology hasa kwa vyuo vya serikali ikiwezekana kama ile guidebook ya chuo husika unayo weka hapa, utakua umenisaidia sana.
ahsante!
 
Hivi nyie hamjui kuchagua kuchagua kosi nzuri..kozi hii unajua kazi yake? Unataka kuwa unapima mavi na mikojo ya watu si ndio!
 
HAKUNA KIZEURI KISICHO KUWA NA MAPUNGUFU..... KWA YEYOTE ANAEJIELEWA LAZIMA APOKEE MAWAZO MBALIMBALI JUU YA CHANGAMOTO ZILIZOPO ILI KUFANYA HUDUMA IWE BORA KADIRI YA MAHITAJI NA USHINDANI.
PILI
KILA ENZI/WAKATI INAKUWA NA UTOFAUTI KWA UZURI NA UBAYA WAKE NA HATA NAMNA YA APPROACH INAKUWA CONDUSIVE KULINGANA NA WAKATI NA MAHITAJI YA WAKATI HUSIKA.
Sasa chuo kizuri ni kipi hapa Tanzania? Maana kila chuo wanaambiwa wasijaribu kabisa kwenda?
 
Back
Top Bottom