MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

Mi breki ya kwanza ilikuwa Bagamoyo. Mafuta niliweka Full Tank. Nimefika Bagamoyo,napata bia huku funguo za gari nazichezea mezani. Kurudi nikajaza tena Full Tank ndo nikapaki. Gari mpya kwanza kumiliki nani kakudanganya inapakiwa bila wese la kutosha?? Afu kabla hujapaki shurti ulifutefute lisije kulala na mivumbi...... Mkwala wote huo gari yenyewe Toyota Starlet. Utanitaka....:smile-big::smile-big::smile-big:

Kipya kinyemii!
 
Mimi mkuu RRONDO nimependa zaidi namba 8,9 na 10. Muhimu sana hizo pamoja na nyingine
Asprin starlet ako wapi sasa hivi?

Mi siku nimenunua foe first time gari ya kwanza nilihakikizha nimeigonga siku hiyo hiyo
 
Last edited by a moderator:
Mimi mkuu RRONDO nimependa zaidi namba 8,9 na 10. Muhimu sana hizo pamoja na nyingine
Asprin starlet ako wapi sasa hivi?

Mi siku nimenunua foe first time gari ya kwanza nilihakikizha nimeigonga siku hiyo hiyo

Hahahah hommie, starlet nimeshamuuzia mwenyewe. Siku nimekuta kaitumbukiza mtaroni roho iliniuma utadhani bado naimiliki..........
 
Mkuu "suala la kuisaidia polisi" halina dogo hata kama unanunua baiskeli phonix!!....ngoja udakwe na gari ambalo liliibiwa uone shughuli yake. Hata kama wewe uliuziwa lakini mpaka ije ionekane hivyo ujue muda na pesa vimekutoka

Tatizo tunanunua kwa mazoea sana. Siku yakikukuta ndo utajua umuhimu wa ushauri uliopewa
 
Hahahaha kweli kipya kinyemi


Mi breki ya kwanza ilikuwa Bagamoyo. Mafuta niliweka Full Tank. Nimefika Bagamoyo,napata bia huku funguo za gari nazichezea mezani. Kurudi nikajaza tena Full Tank ndo nikapaki. Gari mpya kwanza kumiliki nani kakudanganya inapakiwa bila wese la kutosha?? Afu kabla hujapaki shurti ulifutefute lisije kulala na mivumbi...... Mkwala wote huo gari yenyewe Toyota Starlet. Utanitaka....:smile-big::smile-big::smile-big:



Shemeji ulitisha.... shurti kulitesti kwa kugonga........

Ila hii ipo aisee...kuna jamaa alikuwa na gari mpya kwenye foleni ...yaani kutoka sanamu ya askari hadi stesheni kagonga mara 2, sijui mchecheto au nini...


Mimi mkuu RRONDO nimependa zaidi namba 8,9 na 10. Muhimu sana hizo pamoja na nyingine
Asprin starlet ako wapi sasa hivi?

Mi siku nimenunua foe first time gari ya kwanza nilihakikizha nimeigonga siku hiyo hiyo
 
Last edited by a moderator:
Mimi mkuu RRONDO nimependa zaidi namba 8,9 na 10. Muhimu sana hizo pamoja na nyingine
Asprin starlet ako wapi sasa hivi?

Mi siku nimenunua foe first time gari ya kwanza nilihakikizha nimeigonga siku hiyo hiyo

Katika hizo, namba 8 na 10 zimenikuna. Unakuta mtu ana nunua gari namba C limechoka vibaya! Kwa wanaojua gari, body na Engine na Gear Box ni vitu vya msingi sana. Unakuta gari ni namba C lakini body limetoboka hadi unajiuliza kulikoni.

Watanzania wanapaswa kuelewa kwamba zile namba B,C, na D kwa sasa ni herufi tu na ni kiashiria kuwa gari limeingia nchini limekuta mfululizo gani wa namba( number Serie) lakini haina maana upya wa gari!
 
Last edited by a moderator:
Mimi mkuu RRONDO nimependa zaidi namba 8,9 na 10. Muhimu sana hizo pamoja na nyingine
Asprin starlet ako wapi sasa hivi?

Mi siku nimenunua foe first time gari ya kwanza nilihakikizha nimeigonga siku hiyo hiyo

Ha ha ha usijidai ulihakikisha unaigonga siku hio hio....kubali kiherehere cha gari ya kwanza kilikufanya uibamize siku hio! Sipati picha unakuwa na hali gani!
 
CHAZA,
Pia matumizi ya huyo mtu anayeuza hilo gari na condition ya gari alipolinunua iwe ni toka nje au showroom. Gari inaweza kua ni A au B, lakini ikawa bora kuliko yenye namba za C au D. Hiyo point namba 8 ya mleta mada inahoja nzito sana ktk ununuaji wa gari kutoka kwa mbongo.
 
Pia matumizi ya huyo mtu anayeuza hilo gari na condition ya gari alipolinunua iwe ni toka nje au showroom. Gari inaweza kua ni A au B, lakini ikawa bora kuliko yenye namba za C au D. Hiyo point namba 8 ya mleta mada inahoja nzito sana ktk ununuaji wa gari kutoka kwa mbongo.

Madalali wanapiga sana watu apo. Shenzi zao
 
Back
Top Bottom