RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,773
- 108,025
- Thread starter
- #41
Mi breki ya kwanza ilikuwa Bagamoyo. Mafuta niliweka Full Tank. Nimefika Bagamoyo,napata bia huku funguo za gari nazichezea mezani. Kurudi nikajaza tena Full Tank ndo nikapaki. Gari mpya kwanza kumiliki nani kakudanganya inapakiwa bila wese la kutosha?? Afu kabla hujapaki shurti ulifutefute lisije kulala na mivumbi...... Mkwala wote huo gari yenyewe Toyota Starlet. Utanitaka....:smile-big::smile-big::smile-big:
Kipya kinyemii!